Yangawhatsapp_makaomakuu's Instagram Audience Analytics and Demographics

@yangawhatsapp_makaomakuu

Tanzania

Ni Tawi La Yanga Sc. Call 0685188679 & @mookabwe Tunaomba Support Yako Kuendeleza Tawi NMB BENK 20710063289 JINA YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU
yws▓▓▓▓▓@gmail.com
+25▓▓▓▓▓99
Tanzania
25–34

Business Category

Creators & Celebrities

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF YANGAWHATSAPP_MAKAOMAKUU

Average engagement rate on the posts is around 0.06%. The average number of likes per post is 390 and the average number of comments is 10.

Yangawhatsapp_makaomakuu loves posting about Entertainment and Music, Singer.

Check yangawhatsapp_makaomakuu's audience demography. This analytics report shows yangawhatsapp_makaomakuu's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
736,206
Avg Likes
390
Avg Comments
10
Posts
3,151

GENDER OF ENGAGERS FOR YANGAWHATSAPP_MAKAOMAKUU

Female
0.0 %
Male
0.0 %

MENTIONED HASHTAGS OF YANGAWHATSAPP_MAKAOMAKUU

RECENT POSTS

166 6

New Logo 2023/2024 @yangawhatsapp_makaomakuu . #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

632 42

YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU Tunafurahi umejiunga nasi Ni faraja endapo utakuwa mwanachama wa group letu. Heshimu uliowakuta kwenye group hili. Tunawaheshimu wanachama wetu na kuwapa thamani sawa. Tunatoa UHURU WA KUONGEA. Kama mada inakukuna au kukugusa kwa kiwango ambacho unaona lazima utoe majibu na kutoa ufafanuzi yakinifu. Ieleweke kuwa, yaandikwayo hapa ni mawazo ya group/wanachama wetu na si msimamo wa uongozi wa YANGA AFRICA ama vinginevyo. Lugha za matusi hazitavumiliwa! Tutashukuru pale ukiona jambo baya ukatufahamisha tulifanyie marekebisho haraka kabla hujakashifu au kutoa lawama. Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu. Tuandikie: Emeil [email protected] utakapokumbana na tatizo lolote nasi tutakujibu haraka iwezekanavyo ndani ya dakika 60. YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU hili ni group lenye lengo la kupikana kwa maana ya kujengana yanga katika muelekeo chanya wa kila jambo,,hivyo tuko hapa kama familia ya YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU tunao jitambua na kujua nizamu yetu katika sekta zote ndani na nje ya nchi. YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU Niwana mabadiliko kweli kweli,na tunajua nizamu yetu kuakikisha tunasimama kupigania mabadiliko ya klabu yetu..na nijukumu lako wewe na mimi kupambana..tunaitwa YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU tunamaanisha. YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU lazima tuwe na pumzi na mazoezi ya fikra ili ubongo uende mbele,, YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU tunafundishana na tunatiana moyo kwa ajili ya kuifanya kesho kuwa njema zaidi. YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU – (YWSMM) Ni Tawi miongoni mwa matawi ya klabu y Young Africans Sports Club (YANGA), Wanaosaidia kwa karibu saaaaana katika maendeleo yao kijamii na kiuchumi, shida na raha mbalimbali, kisha kujenga ushirikiano miongoni mwa, klabu na viongozi wa Yanga makao makuu kwa jambo lolote la Yanga, pamoja na wanachama wetu/wa Yanga nchi nzima Imetolewa Na Uongozi wa YWSMM MSHIKAMANO NA UHURU DAIMA

296 0

Leo nina Ofa kwa Watu 500 tu wakuungwa kwenye group letu. Naomba usiweke Namba yako hapa maana hutaungwa Naomba uwende moja kwa moja kwa mtu huyu.. Anaitwa Mussa Mahimba Mwenyekiti Wa Kamati ya wanachama na matukio wa Tawi hili la YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO Karibuni sana YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU Simu No +255715383883 Utaungwa moja kwa moja... Maombi ya kujiunga na Group letu ni mengi sana leo Tumetoa ofa tu hiyo .... Narudia usiweke namba yako hapa... #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

1,340 231

Huyu ana akili kweli timamu jamani.. #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

366 7

WANANCHI WAKOSHWA NA KIWANGO CHA AUCHO "Wampatie tuzo yule bwana ni mtu wa kazi" mmoja wa Mashabiki wa Yanga SC kutoka Jijini Dar es Salaam waliovutiwa na kiwango cha mchezaji wa timu hiyo, Khalid Aucho. Vipi wewe nani amekuvutia zaidi kwenye kikosi cha Yanga SC? (Imeandikwa na @anoth_paul ) Cc: @azamtvsports #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

2,709 4

BAADA YA BURUDANI NI FURAHA!! Wachezaji wa Klabu ya Yanga SC 🇹🇿,Kouasi Yao 🇨🇮 na Pacome Zouzoua 🇨🇮 wapo visiwani Zanzibar kwaajili ya likizo ndogo kabla ya kurudi tena kambini kujiandaa na Mechi zijazo za Klabu ya Yanga SC 🇹🇿. #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

156 3

Nyota wa Yanga, Kennedy Musonda amemzawadia gari mke wake Natalie baada ya kujifungua salama mtoto wa tatu ambae ni wa kike. Musonda alimpost mtoto huyo kwenye akaunti yake ya Instagram Septemba 18. #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

330 3

Namuona tunu hasaan akienda kumshughulikia zakazakazi #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

343 4

Mwenyekiti wa Tawi la Yanga Whatsapp Supporters Makao Makuu, Alwatan Hamza @al_watan_hamza @al_watan_hamza anasema Simba wana cha kujifunza kwa Yanga baada ya wao kucheza fainali msimu uliopita ya Caf Confederation Cup na kuacha kuangalia rekodi zao ambazo bwana Hamza anaamini kuwa ni za Uongo Uongo mwingi Pia Alwatan ameeleza kuwa katika watanzania milioni 60 basi mashabiki wa Yanga ni milioni 40, huku akitamba kuwa Yanga ndio timu pekee iliyoifunga mara nyingi Simba Sc Full interview hii tembelea katika You Tube Channel yetu KISHAMBA MEDIA kujionea undani wa taarifa 👊 @kishambamedia @kishambamedia Presenter @morisitz_ Cameraman @almas__adam #KishambaUPDATES #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

56 1

🔗link hizi hapa https://youtu.be/aAH5z5xUIlE?si=3iXOVvGgDfDh1TqS Nenda youtube kwenye @kishambamedia Kawasikilize viongozi wa tawi letu kuhusu Yanga yetu na safari nzima za kimataifa Katibu mussa Muro Na mwenyekiti Alwatan hamza.. @al_watan_hamza @al_watan_hamza @al_watan_hamza #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

96 0

Pichani ni kaka yangu anaitwa Ramdhan Khamisi Mwalimu.. Ni mwanachama wa tawi letu la YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO @yangawhatsapp_makaomakuu Huyu ni mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa shirika la bima Zanzibar. Niwaombe sana msisahau kumuunga mkono kupata Bima zenu kupitia shirika lao huwa ni mwenzetu na nimoja ya roho kubwa za Tawi hili na hazina kubwa sana leo na kesho .. kwenye Tawi na hata kwenye klabu yetu ya Yanga. Kama una Shida ya bima unaweza mcheki mimi nimeshafanikiwa kupitia kwake Ramadhan mwalim khamis. @zic_znz @zic_znz #SisiNiMashahidiTu #hallaywsmm🇹🇿

165 3

Ikawe siku njema yenye barka na neema na uuanze mwaka mwingine kwa furaha,amani na mafanikio zaidi. Happy birthday Swahiba @antonionugaz Mkurugenzi na Muanzilishi wa Chapa bora @mr.punguzo

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

15.8K
-
0.18 %
Tanzania Photography, Celebrity, Music
2.5K
-
4.97 %
Tanzania Entertainment and Music, Music, News
116.2K
-
0.18 %
Tanzania Entertainment and Music, Education, Celebrity, Singer, Entertainment
20.2K
-
-
Tanzania Fashion and Accessories
51.9K
-
0.00 %
Tanzania Fashion and Accessories, Shoes, Plus Size
1.5K
-
0.70 %
Tanzania Photography, Product Showcase, Business and Finance
155K
-
0.60 %
Tanzania Fashion and Accessories, Marketing and Advertising, Health and Medical Services
47.1K
184 / post
0.08 %
Tanzania Fashion and Accessories, Modeling, Styling, Celebrities, Health & Fitness, Humor
44.8K
-
0.03 %
Tanzania Pets, Fashion, Singer
1.9K
-
2.26 %
Tanzania Photography, Celebrity
3.2K
-
1.54 %
Tanzania Travel
40.7K
-
0.02 %
Tanzania Home and Garden
415.6K
-
0.03 %
Tanzania Product Education, Politics
3.8K
52 / post
0.21 %
Tanzania Entertainment and Music, Celebrities
19.1K
-
0.08 %
Tanzania Home and Garden, Singer