Activemedia24's Instagram Audience Analytics and Demographics
@activemedia24
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF ACTIVEMEDIA24
31.3% of activemedia24's followers are female and 68.7% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.12%. The average number of likes per post is 99 and the average number of comments is 2.
58.33% of the followers that engaged with activemedia24 regularly are from Tanzania, followed by Poland at 8.33% and United Kingdom at 5.56%. In summary, the top 5 countries of activemedia24's posts engager are coming from Tanzania, Poland, United Kingdom, United States, India.
Activemedia24 loves posting about News, Celebrity, Sports, Singer, Nature & Outdoors, Film, Music & Books, Architecture.
Check activemedia24's audience demography. This analytics report shows activemedia24's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR ACTIVEMEDIA24
AUDIENCE INTERESTS OF ACTIVEMEDIA24
- Music 93.16 %
- Entertainment 69.73 %
- Business & Careers 45.14 %
- Movies and TV 35.02 %
- Art & Design 34.42 %
- Sports 32.38 %
- Photography 30.84 %
- Books and Literature 29.86 %
- Healthy Lifestyle 28.60 %
- Restaurants, Food & Grocery 28.60 %
- Cars & Motorbikes 28.60 %
- Beauty & Fashion 27.77 %
AUDIENCE COUNTRIES OF ACTIVEMEDIA24
- Tanzania 58.33 %
- Poland 8.33 %
- United Kingdom 5.56 %
- United States 5.56 %
- India 5.56 %
MENTIONED HASHTAGS OF ACTIVEMEDIA24
- ActiveMedia 20
- ActiveSports 3
- AzizKi 2
- Active24 2
- jioniyaleo 2
RECENT POSTS
Mc wa Taifa @mcgarab amefunguka Kuhusu Mahusiano ya Wasanii ambao anatamani Ahusike kwenye Ndoa zao kama Mc kabla hayajavunjika @mcgarab amezungumza kwamba Mahusiano anayoyaona ni ya @officialnandy na @billnass Wasanii wengine wanadanganyana tu Nenda Youtube #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview
Kutoka kwa @oscaroscarjr akimzungumzia Msemaji wa Mabingwa @hajismanara "Kuna vitu ambavyo huwa tunavichanganya,kuna Ushikaji na kujua nafasi yako, @hajismanara kabla hajawa Afisa Habari wa Vilabu vya @simbasctanzania na @yangasc amekuwa Mtangazaji Mkubwa wa Habari za Michezo kwenye Media hapa Tanzania" Pia " @hajismanara is a very very Senior Journalist ,Ukiwa naye karibu usiishie tu kwenye kutaniana Instagram Jaribu kuchukua Faida ya wewe kuwa karibu na yeye kuona ni kitu gani unaweza ukafanya ukasogea mbele " So, Ukiacha utani wetu ambao unauona Mimi najifunza Vitu vingi sana kutoka kwa @hajismanara @hajismanara anajua Mpira..Anajua mpira haswa...Ni shabiki wa Mpira Haswa..Ukimuona anafanya Uchare Uchare wake Sometimes ni kwasababu tu anataka kuwakonga nyayo watu,Akiamua kuzungumza mpira anazungumza mpira na wote mnaweza kukaa chini mkamsikiliza" Host @chancetza Shot by @deebyser_ Nenda YouTube #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview na @oscaroscarjr
Mchambuzi na Mtangazaji @oscaroscarjr ametolea Ufafanuzi Sakata la Usajili wa Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Asec Mimosas @az_stephane10 ambaye anawindwa na Vilabu viwili vya Tanzania @simbasctanzania na @yangasc @oscaroscarjr ameweka wazi kwamba Kwa Uwezo wa Mchezaji #AzizKi anaweza kuja Klabu yoyote inayocheza Ligi kuu Tanzania Bara na Akaingia Kwenye Kikosi cha kwanza Moja kwa moja Nenda Youtube #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview na @oscaroscarjr
Ni kweli Mashabiki wa Simba ni Utambi wa Koroboi.....? Unaweza kuitazama hii kupitia YouTube channel ya Active Media, Kwenye Bio kuna link. #ActiveSports #Active24
Mchambuzi na Mtangazaji @oscaroscarjr amezungumzia Namna ambavyo ameupokea Ubingwa wa NBC PREMIER LEAGUE ambao umebebwa na Klabu ya @yangasc mbele ya Klabu ya @simbasctanzania ambao walikuwa Mabingwa kwa Msimu uliopita Host @chancetza Shot by @deebyser_ Nenda YouTube #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview na @oscaroscarjr
Exclusive Interview na Mtangazaji/Mchambuzi @oscaroscarjr kutoka @efmtanzania @tvetanzania Kwenye Uzinduzi wa Kipindi kipya cha #jioniyaleo kinachoongozwa na @dinamarious Awali @oscaroscarjr alikuwa anahudumu kwenye kipindi cha Sports HQ ambapo amehamishwa na Kujiunga na Team ya Jioni ya Leo,Kipindi ambacho kitaanza Jumatatu mpaka Ijumaa Saa 10 Jioni Host @chancetza Shot by @deebyser_ Nenda YouTube ya #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview na @oscaroscarjr
Prince @princedullysykes amefunguka Juu ya Matamanio yake ya kuingia kwenye Ndoa na ameeleza kwa Upana mipango yake ya Muziki kwa Mwaka huu Pia @princedullysykes amezungumzia Wasanii ambao wamepita kwenye Mikono yake Kabla hawajawa Wasanii wakubwa Tanzania Nenda YouTube #ActiveMedia Kutazama Full Interview
Mrembo @ireneuwoya8 Amezungumzia Mipango yake ya kufunga Ndoa kabla mwaka huu haujaisha, Amezungumzia kwa upana Mipango ya kumpata mdogo wake #Krish Nenda Youtube #ActiveMedia Tayari Tumekuwekea Full Interview
Queen @ireneuwoya8 Usiku wa leo amefunga Jiji la Dsm kwa Msafara wake wa Boda Boda akielekea Kwenye Duka la @lizpayless ambako Ametangazwa kama Balozi MPYA wa Duka hilo Full Video Tayari Tumekuwekea YouTube #ActiveMedia
Mfanyabiashara Zari Hassan amefunguka kwa mara ya kwanza kufanyiwa upasuaji ili kuboresha sura yake. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutua nchini Tanzania, Zari alisema kuwa upasuaji si jambo geni na hivyo watu wanapaswa kushangaa kuwa alichomwa kisu hicho ili kupata tumbo dogo. Licha ya kuweka hadharani, mama huyo wa watoto 5 hakufichua aina ya upasuaji aliofanyiwa. “Unajua in Africa tunajifanyanga tunashituka, na hivi vitu tumevipata wazungu wanafanya, na upasuaji kufanya sio ati kwa ubaya na watu wengine wanachulianga in a bad way. Lakini ukiisema kwa kizungu its just to enhance yourself to look better, hakuna mtu anaonekana vibaya, ama kuonekana na vitambi. Kwa hivyo wakati mwingine ikiwa ni ya bei nafuu na unaweza kuifanya ili kujiangalia vizuri kwa nini sivyo. Nimefanya upasuaji kwa ajili ya tumbo langu tu,” Zari Hassan alisema. #ActiveMedia #activeentertainment #zarithebosslady
Mtendaji Mkuu wa Cambiasso Twaha Ngwambia amesema wameshaandaa timu kwa upande wa Tanzania ambazo zitashiriki michuano ya Cambiasso & Rainbow U20 International Tournament Yanga, Azam FC, Mtibwa Sugar, Coastal Union na Jku kutoka Zanzibar. Mashindano hayo ya kimataifa ni kwa ajili ya vijana kwa Umri wa miaka 20 itakayoanza hapa nchini Julai mwaka huu na yatarushwa na kampuni ya Azam Media baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya kurusha mechi hizo za Cambiasso & Rainbow U20 International Tournament. . . . @Cambiassosports @rainbow.sports @alexmorfaw
Lazarous Kambole ni mchezaji kandanda wa Zambia amejiunga na MABINGWA wa Inchi Yanga, Kambole ametokea Kaizer Chiefs na anacheza kama fowadi. #ActiveSports
Avg Comments