Itvtz's Instagram Audience Analytics and Demographics

@itvtz

Tanzania

The Official Instagram account of ITV Tanzania P.O.Box 4374, DAR ES SALAAM Tel: 065 877 7144 , 0767777147 Email: 👍@radioonetanzania
inf▓▓▓▓▓@itv.com
Tanzania
25–34

Business Category

-

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF ITVTZ

22.1% of itvtz's followers are female and 77.9% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.01%. The average number of likes per post is 181 and the average number of comments is 6.

Itvtz loves posting about Entertainment and Music, Singer.

Check itvtz's audience demography. This analytics report shows itvtz's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
1,377,030
Avg Likes
181
Avg Comments
6
Posts
43,403

GENDER OF ENGAGERS FOR ITVTZ

Female
22.1 %
Male
77.9 %

AUDIENCE INTERESTS OF ITVTZ

  • Music 96.92 %
  • Entertainment 75.49 %
  • Children & Family 53.40 %
  • Fitness & Yoga 47.68 %
  • Sports 47.04 %
  • Business & Careers 46.59 %
  • Art & Design 39.68 %
  • Cars & Motorbikes 36.33 %
  • Beauty & Fashion 36.26 %
  • Movies and TV 33.97 %

MENTIONED HASHTAGS OF ITVTZ

RECENT POSTS

64 6

#MCHEZOSUPA: Ebu vuta picha Asubuhi simu janja inakuamsha na alarm nzuri... Unaingia mishe na bodaboda Yako safiii mpya.. unaporudi nyumbani unapumzika kwenye kochi na juisi baridi ukiangalia TV ikiwa na king'amuzi sebuleni kwako..... na kubwa zaidi unarudi kulala ukiwa na kibunda mfukoni. Acha kuvuta picha hayo yanaweza kuwa kweli Kwa 1000 tuu endapo utafanya maamuzi sahihi Sasa bango linajieleza. Oktoba hii Kibabe zaidi ..

126 4

#ITVTanzania #BanjukaKidsChallenge #season1 @shikabamba5 #captainmose

581 14

Mti wa usuluhishi na mti wa hukumu au wa kulaani ni miongoni mwa miti inayotumika sana na wazee wa kabila la Wagorowa au Wafiome ni moja kati ya makabila makuu yanayopatikana katika mkoa wa Manyara linaongozwa na Chifu Dodo. Miti hiyo huwa haikatwi na iwapo ikatokea mtu amekata mti huo basi kuna taratibu za kufuatwa ili kupooza.

392 2

#HABARI: Wizara ya Afya imesema itaandaa muongozo kwa mwanamke yeyote mwenye umri wa miaka 30 anaekwenda Hospitali iwe ni wajibu wa Daktari kumuelekeza au kumuelimisha mwanamke huyo kufanya uchunguzi wa kupima Saratani ya Matiti na Saratani ya Mlango wa Kizazi. . Mhe.Ummy ameyasema hayo alipohudhuria matembezi ya uelimishaji jamii, juu ya Saratani, yaliyoandaliwa na Ubalozi wa Sweden kwa kushirikiana na Shujaa Cancer Foundation na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Sweden. . Aidha, Waziri Ummy amewasisitiza wananchi kujitokeza kupima Saratani hususan ya Matiti kwa ajili ya kujua hali zao mapema na kuanza matibabu kabla haijafika hatua ya tatu na nne, huku akiwataka kutumia sherehe zao za siku ya kuzaliwa (Birthday) kupima ugonjwa huo.

26 0

Bidhaa za asili zinazotengenezwa nchini Tanzania zimeonekana kupendwa zaidi na raia wa nje ya nchi kuliko wazawa, kutokana na baadhi ya watu kuvutiwa zaidi na bidhaa kutoka nje ya nchi. Mmoja wa wafanyabiashara wa bidhaa hizo maarufu Kwa jina la Easter Yanga ametoa wito Kwa Watanzania kupenda bidhaa za asili zinazotengenezwa nchini.

137 2

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Salha Burian, kufuatia vifo vya watu 18 vilivyotokea katika ajali ya gari. Ajali hiyo imetokea leo katika kata ya Uchama, tarafa ya Nyasa Wilaya ya Nzega mkoani humo. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania

294 3

Wakala wa mabasi yaendayo haraka umeanza rasmi zoezi la upanuzi wa kituo kikuu cha mabasi hayo Kivukoni Dar es Salaam, huku abiria wakiwa na maoni mseto juu ya changamoto ya kutembea umbali mrefu na mizigo kufata usafiri katika maeneo mbadala yanayotumika kupisha ujenzi. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania

113 7

Rais wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amekemea vikali vitendo visivyo vya kiadalifu vya utoroshwaji wa madini vinavyofanywa na baadhi ya Wachimbaji na Wafanyabiashara wa Madini kwani vitendo, hivyo vinafifisha juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya Madini na Maendeleo ya taifa kwa ujumla. Rais Dkt.Samia ameyabainisha hayo Jijini Dodoma wakati akizindua mitambo ya uchorongaji Madini kwa wachimbaji wadogo na mitambo ya shirika la Madini la Taifa Stamico. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania

68 3

#Muhtasari: Kwa Haya na Mengine mengi usikose kuungana nasi ifikapo Saa mbili kamili usiku. . Unaweza pia kutazama Taarifa yetu ya Habari kupitia Youtube na Facebook #ITVTanzania . Usisahau Ku-Subscribe ili kupata Taarifa zetu za #Habari kila zinapotufikia.

316 20

Wananchi wa Mtaa wa Ikurwa Kata ya Ihanamilo mkoani Geita, wameiomba serkali kulidhibiti kundi la vijana linaloendesha shughuli za uchimbaji wa Madini ya mchanga usiku wa manane katika eneo la makazi ya watu, kwa kuwa uchimbaji huo umeharibu mazingira pamoja na kuweka mashimo makubwa ambayo yanahatarisha maisha ya watoto pamoja kukusanya maji mengi ambayo ni hatari katika makazi yao. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania

76 1

Viongozi ngazi ya Kata na Vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wametakiwa kuhakikisha wanatenga bajeti itakayosaidia kuibua vipaumbele kwa ajili ya utoaji elimu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtotoM katika maeneo yao ili kusaidia kupunguza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ambavyo vimekuwa vikiripotiwa mara kwa mara wilayani humo. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa shirika lisilo la kiserikali la Save The Children, John Tobongo. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania

219 4

"Wajibu wa kulinda taarifa zako za mawasiliano, ni wa mtu binafsi na ndio maana unapokwenda kujisajili, au kusajili kifaa chako cha mawasiliano, au Sim Card yako ile, kwani laini ya simu unaandika jina lako, la mkeo au la mumeo?, ni lakwako tu, hii ni kwa ajili ya ulinzi na usalama wako mwenyewe, kwa sababu taarifa zilizomo kwenye kifaa chako zinahusu maisha yako"-Robin Ulikaye - Afisa Mawasiliano TCRA. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania Follow @radioonetanzania #MezaHuruITV Unaweza kufuatilia kipindi hiki kwenye Youtube yetu ya #ITVTANZANIA.

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

64K
-
0.10 %
Tanzania Romance and Wedding, Home and Garden, Events, Portraits
25.3K
-
0.29 %
Tanzania Fashion and Accessories, Marketing and Advertising, Singer
1.3K
-
1.60 %
Tanzania Fashion and Accessories, Entertainment and Music
109.1K
-
0.31 %
Tanzania
2K
48 / post
2.45 %
Tanzania Pets, Celebrities, Health & Fitness, Hair & Beauty, Design
177.8K
-
0.25 %
Tanzania Fashion and Accessories, Singer
24.2K
73 / post
0.10 %
Tanzania Entertainment and Music, Singer, Humor, Celebrities, Cars & Motorcycles
19.7K
-
0.96 %
Tanzania Auto and Vehicles, Automotive, Product Service, Product/Service, Personal Goods & General Merchandise Stores
27.7K
36 / post
0.25 %
Tanzania Marketing and Advertising, Health & Fitness
2.2K
-
0.34 %
Tanzania Shopping
55.2K
-
-
Tanzania Arts and Crafts, Home and Garden, Graphics, Design
272.5K
-
0.09 %
Tanzania Entertainment and Music
73.7K
-
0.03 %
Tanzania Fashion and Accessories, Beauty and Self Care, Music
104.8K
-
1.21 %
Tanzania Education, Singer
4.7K
-
0.11 %
Tanzania Product Showcase, Home and Garden