Tizneez's Instagram Audience Analytics and Demographics

@tizneez

Tanzania

#TuzungumzeMuziki
tiz▓▓▓▓▓@gmail.com
+25▓▓▓▓▓68
Dar es Salaam
Tanzania
25–34

Business Category

Local Events

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF TIZNEEZ

22.0% of tizneez's followers are female and 78.0% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.59%. The average number of likes per post is 118 and the average number of comments is 8.

33.33% of the followers that engaged with tizneez regularly are from United States, followed by Uruguay at 11.11% and Brazil at 5.56%. In summary, the top 4 countries of tizneez's posts engager are coming from United States, Uruguay, Brazil, Slovakia.

Tizneez loves posting about Entertainment and Music, Singer, Cars & Motorcycles, Film, Music & Books, Humor, Celebrities.

Check tizneez's audience demography. This analytics report shows tizneez's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
21,295
Avg Likes
118
Avg Comments
8
Posts
3,172

GENDER OF ENGAGERS FOR TIZNEEZ

Female
22.0 %
Male
78.0 %

AUDIENCE INTERESTS OF TIZNEEZ

  • Music 97.68 %
  • Entertainment 73.49 %
  • Art & Design 37.32 %
  • Sports 35.06 %
  • Business & Careers 32.16 %
  • Cars & Motorbikes 30.80 %
  • Movies and TV 29.22 %
  • Beauty & Fashion 28.62 %
  • Clothes, Shoes, Handbags & Accessories 28.62 %
  • Children & Family 28.21 %
  • Luxury Goods 27.98 %

AUDIENCE COUNTRIES OF TIZNEEZ

  • United States 33.33 %
  • Uruguay 11.11 %
  • Brazil 5.56 %
  • Slovakia 5.56 %

MENTIONED HASHTAGS OF TIZNEEZ

RECENT POSTS

90 15

Pumzika kwa amani @dee7tz tunajua “Mtu atakumbukwa kwa matendo” umetenda mema katika huu muziki. Hakuna mjuzi asiyejua ubora wako enzi za African Beat pale Kiss Fm (18:00-21:00 Monday -Friday. Hakika ilikuwa bora ile yenye Top Ujazo, ambayo haikuwa haina upimo wa kipimo chochote. Ni wazi Dee Selecter alifanya yale alipaswa kufanya. Na sisi ni wale ambao tulisifu katika wewe/yeye juu ya ujuzi na ujazo wako kwa wazi kabisa. Hakika tumepoteza kipaji chenye top ujazo haswa. Lakini kusudi la Mungu hutimia kwa nyakati kamili, hatuna neno zaidi ya shukrani ya uisho wa kaka mkubwa mjuzi mwenye ujuzi imara. Pole kwa familia, ndugu, jamaa na wadau wote ambao simamio lao ni muziki. Cc @djjeffjerrytzania @kissfmtanzania #Tizneez #MAPDee7

56 7

Tusisahau kukumbushana kumbukizi. (Hakika) Juzi na jana ni katika tofauti kuu ya ujuzi wa mengi katika juzi na jana ya muziki. Hii ni kuanzia kwa wadau, watu wa media, mashabiki lakini wasanii. (Wengi wao) Lakini mjuzi mmoja anatujuza yakuwa “Busara itakulinda, ufahamu utakuhifadhi”. Na chagizo lake akanena yakuwa “Nena uyajuayo kwa ufahamu wa wengine, lakini katika semi bora. (Heshima) Na zingatio letu ni katika upana wa sanaa kwa jumla wetu ni uhalisia wetu. Na ni wazi tunajua vyema juzi ya muziki, jana na leo yenye ukamili. (Ujazo) Vivyo tunapenda kumrekebisha msanii Foby juu ya semi zake yakuwa yeye ndiye msanii wa kwanza kuimba juu ya Taifa Stars. Ambapo Foby amenena hayo akiwa East Africa Radio. (Hoji) Uhalisia katika uhalisi yeye si msanii wa kwanza kuimba katika Taifa Stars, lakini kwa heshima ya Foby huenda akawa hajui yakuwa yeye si wa kwanza. (Naam) Lakini je! Ni wangapi wamesadiki yakuwa yeye ni kwanza baada ya kauli ile? Ila je! Watangazajji na waandaji wa kipindi hawajui yakuwa Foby hakuwa wa kwanza? (Shangazo) Ni wazi msanii marufuku aliwahi kuimba katika Taifa Stars kwa miaka mingi nyuma. Tena aliimba katika zile nyakati za wahamasishaji walipokuwa wanahamaishwa. (Ajabu) Vitalis Maembe kutoka Mwambaoni Bagamoyo alihamasisha bila hamasisho. Hivyo kipekee tumpe heshima yake ya kuwa alifanya kwa nyakati zake. (Mjuzi) Na tunakumbusha kumbukizi yakuwa “Matukio yatapita isipokuwa Muziki”. Pongezi kwa Foby kwa wimbo mzuri katika sasa, lakini wewe si msanii wa kwanza katika tungo na uimbaji wenye sifu juu ya Taifa Stars. (Hakika) Yote ya yote “Tusisahau kumbukizi katika juzi na jana ya muziki wetu, ilihali pia tusisahau kukumbushana kumbukizi”. #TuzungumzeMuziki #Tizneez

139 3

#BongoFlavaHonorsNaGangweMobb Tunaweza kukubaliana kutokubaliana yakuwa Asali wa Moyo ya Inspector Haroun Babu ni wimbo bora wa mapenzi wa muda wote. (HipHop) #TuzungumzeMuziki #Tizneez Cc @inspector_haroun_babu @bongoflavahonors

56 3

Pumzika Kwa Amani Steve B..! Kwa Hakika Kifo ni hakika. Historia ya Bongo Flava kamwe haitaweza kuwa na sahau katika nafasi yako juu ya uchagizaji katika ukuaji. (Muziki) Kurasa yako katika kitabu itaandikwa kwa upana na sifu zenye halisi juu ya mikono ilivyotenda haki katika cheza ya muziki. Sisi ni wale wajuzi ambao tunaamini yakuwa “Hata kufa ni kuishi, lakini ni katika kifo” (Maisha) Nani mwana Bongo Flava haswa na awe na sahau juu ya Steve B katika ubora wake wa kazi? Nani huyo? Yupo? (Hakuna) Hakika haitakuja kutokea katika sahau ya ubora kwani “Daima liandikwalo, halifutiki” umeandika Bongo Flava katika wewe, umeishi umeicheza na umeisaidia. (Wasanii) Vivyo hakuna sahau juu ya Steve B, tumepoteza mtu lakini haipaswi kuwa na huzuniko bali furahio. Kwani kazi alitenda na muziki ameupambania. (Hakika) Katika maisha mtu hupita, bali hadithi katika yeye hubaki. Vizazi na vizazi vitasimuliwa na kusoma juu ya nafasi yako Steve B. Sehemu salama katika maisha ya kifo ukae na uishi vyema. Mungu ni mwema kila wakati. Pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote. (Huzuniko) #Tizneez #TuzungumzeMuziki

114 3

Miaka 10 katika ukamilisho wa hai utu lakini hai ya nafsi katika leo ile yenye imba na cheza katika nyimbo zako. Ilikuwa siku, wiki, mwezi, mwaka na sasa miaka. Lakini sisi ni wale ambao tulisifu na kufurahi katika yako. (Hakika) Leo, kesho tutaendelea kuhubiri juu ubora wa Nyakati zote ambao umebarikiwa. Yote ya yote “Mtu atapita isipokuwa muziki” #NgwairDay 28/5/2023 Endelea kuishi maisha ya kifo Cowizy ✊ #Tizneez #TuzungumzeMuziki

143 21

Ni kosa kutotaja wimbo wa Mrembo wa Mansu Li. Ibuko la matajo katika nani bora, wimbo gani bora na mengi katika wasanii ni sehemu ya chagizo la wengi katika muziki. (HipHop) Na katika yale ambayo huibua hisia zaidi katika utamaduni wa HipHop ni tajo la nyimbo bora zenye tungo/tenzi za mapenzi. (Ubora) Na katika matajo ya wengi hakunaga tajo la wimbo wa Mrembo kutoka kwa Mansu Li ambao upo kwenye album ya Kina Kirefu. Sisi hatushangazwi kwani tunajua wengi si katika juzi. (Ufahamu) Ni wazi wimbo huu ni bora na unapaswa kuwa katika matajo ya wakati wote katika yale matajo ya bora zenye tenzi/tungo katika HipHop/Rap. (Daima) Utulivu na usikivu wa mdundo toka kwa Q The Don umefanya Mansu Li kuwa na mitambao yenye ujazo wa tungo imara ambazo miaka zaidi ya 10 tangu na mpaka sasa hauna chosho. (Hakika) Lakini uimbaji wa Makamua ambaye ni mjuzi katoka wajuzi ulikamilisha ladha yenye usikivu ambao unachukua hisia katika ukamili. (Naam) Mrembo ya Sinza Star ni bora katika zile chache zenye ubora wa nyakati zote. Mrembo tumeiweka katika hadhi yenye ubora tangia tangu mpaka sasa lakini kesho. (HipHop) #Tizneez #TuzungumzeMuziki cc @mansu_li @iam_makamuatz

148 6

Pumzika kwa Amani (Babu Sikare) Albino Fulani. Sisi ni wale waumini wa semi ya “Mtu atapita isipokuwa Muziki”. Kwa nafasi yako ulifanya katika kile ulichobarikiwa katika hai. Lakini leo ni anzo la maisha ya kifo. (Huzuniko) Pole kwa famili, ndugu, jamaa na marafiki wote katika msiba huu wa Albino Fulani. Nafasi ya uisho ni nafasi yenye mwisho. Na ‘Nafasi’ akiwa na Sugu, Mwana Fa na Belle 9 ni moja ya kazi ambazo kwetu zilikuwa pendwa katika usikivu. (HipHop) Pumziko jema Albino Fulani, Hakika Kifo ni Hakika ✊

233 10

Sisi tulisifu katika Mex na Fresh, na leo tunasifu katika Freestyle Doctor Rota. Ni moja kati ya wale bora ambao tumehubiri katika yeye kwa nyakati nyingi. Ameamua kuonyesha katika ubora wake katika #YatapitaChallenge na uhalisia sisi tumeona ubora hatupaswi kuwa na ukimya wowote ule. Cc @rota_freestyledoctor @fredoombunji @diamondplatnumz @wcb_wasafi @romyjons

223 26

Kuna ambaye atafanya zaidi ya Mex na Fresh? (Ulizo) Leo ni katika #YatapitaChallenge ambapo utangazo wa msanii Diamond Platnumz ni katika rudio la wakali kadhaa katika ubora. Na Mex pamoja na Fresh wamefanya katika ujazo usio na upimo. Je! Kuna msanii/wasanii wengine wanaweza kufanya katika ubora huu? (Aiseh) Au tufanye #YatapitaChallenge imeishia hapa katika umbili huu wa Mex na Fresh? Kimsingi sisi tunapongeza ubora wa Mex na Fresh na si katika hii bali katika mengi ambayo wamekuwa wakifanya katika huu muziki. (Wajuzi) . #TuzungumzeMuziki #Tizneez cc @mex.tz @freshlikeuhhhh @diamondplatnumz @wcb_wasafi

80 3

Kuna sifu inayoweza kusifu juu ya Dully Sykes? (Ulizo) Uhalisia katika ukamili wa ‘sifa’ ni uzuri au ubaya wa mtu/kitu katika juzi, jana, ama leo katika ujazo wa kesho husika katika utendalo (Sifa) Lakini ‘sifa’ yenye pendezo nyakati zote ni sifu katika uzuri si katika ubaya. Na daima wajuzi wanatujuza yakuwa “Mwenye sifa yake mpe” (Hakika) Jana ilikuwa katika funguzi la Bongo Flava Honors Pale Alliance. Ambapo katika zinduo Dully Sykes amekuwa ni msanii wa kwanza. (Heshimisho) Na simamio la utumbuizaji na bendi ikawa ni takribani saa 3 bila kushuka wala upotezo wa nguvu yake lakini sauti yake yenye ujazo. (Mamlaka) Ni nani katika pale alikuwepo na asinene katika sifa za ubora wa Dully Sykes? Ni wazi ameimba katika ubora, hakukuwa na mpayuko wala hovyo za mikono juu au lolote lenye soni. (Ubora) Bali miimbo yenye kufanya kila alikuwepo kufurahia kwa namna yake. Anzo katika ‘Julieta na mpaka usasa wa leo hakuna ambaye alionekana kuwa na jutio katika uwepo. (Burudisho) Ni sifu gani ambayo inaweza kusifu katika Dully Sykes katika kile alichokionyesha pale? Ni wazi hakuna semi ambayo itaweza kuzidi utendo ule wa jana katika tumbuizo. (Ujazo) Sisi tunasema wazi yakuwa “Dully ni baraka katika muziki huu” Na heshima yake tunaiweka katika uwazi, ambao maandiko yetu yatanena mara zote katika juzi, jana na leo lakini kesho. Kwani tunajua daima “Liandikwalo halifutiki” (Hakika) Pongezi kuu kwa timu nzima katika Bongo Flava Honors, hakika ni kitu bora na chenye manufaa. Eneo katika tumbuizo ni bora, jukwaa, bendi lakini zaidi namna mmekuwa na hali ya mapokezi katika kila aliyekanyaga. (Hongereni) Bongo Flava Honors itahusika na kufanyika kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi. Hivyo mashabiki wenye tamanio la kuwa sehemu ya kuwa na heshimisho la wakongwe basi wajue jambo hili ni katika muendelezo. (Naam) #Tizneez #TuzungumzeMuziki cc @princedullysykess @therealjongwe @bongoflavahonors

83 4

Pole zetu ni kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote kwa msiba huu wa H Mbizo. Ambapo H Mbizo amefariki mjini Morogoro na maziko yake itakuwa ni kesho Magomeni Dar Es Salaam. . Ni wazi wajuzi wanatujuza kuwa “Mtu atapita isipokuwa Muziki”. Wimbo huu unabaki kuwa alama elezo la H Mbizo katika uisho wake. (Usikivu) . #TuzungumzeMuziki #Tizneez

96 4

Furahio letu ni kuwa sehemu kuu ya anzisho la Bongo Flava Honors leo hii. Ambapo uhalisia @princedullysykes ameendelea kuonyesha kuwa kwanini yeye amekuwa ni msanii wa kwanza katika funguzi. (Ujuzi) . #TuzungumzeMuziki #Tizneez cc @bongoflavahonors @deiwakaworld

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

3.8K
-
1.36 %
Tanzania Fashion and Accessories, Arts and Crafts
2.4K
-
6.16 %
Tanzania Travel
27.7K
36 / post
0.25 %
Tanzania Marketing and Advertising, Health & Fitness
12.4K
53 / post
0.14 %
Tanzania Product Showcase, News, Celebrities, Jewelry Watches, Jewelry/Watches, Personal Goods & General Merchandise Stores
289.8K
-
1.08 %
Tanzania Entertainment and Music, Celebrity, Singer
64K
-
0.10 %
Tanzania Romance and Wedding, Home and Garden, Events, Portraits
34.9K
-
0.21 %
Tanzania Finance, News
108.6K
-
0.10 %
Tanzania Photography, Romance and Wedding, Events, Portraits
9.2K
-
0.05 %
Tanzania Fashion and Accessories
10.6K
-
0.70 %
Tanzania Nature, Animals
540.2K
-
0.02 %
Tanzania Entertainment and Music, Home and Garden, Soccer, Singer
4.5K
-
0.85 %
Tanzania Fashion, Pets
7.1K
-
0.62 %
Tanzania Travel
41K
-
0.00 %
Tanzania Fashion, News
1.8K
1K / post
193.01 %
Tanzania Sports, Business and Finance, Celebrities