Swahilitimes's Instagram Audience Analytics and Demographics
@swahilitimes
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF SWAHILITIMES
14.1% of swahilitimes's followers are female and 85.9% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.01%. The average number of likes per post is 66 and the average number of comments is 5.
Swahilitimes loves posting about News, Singer.
Check swahilitimes's audience demography. This analytics report shows swahilitimes's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR SWAHILITIMES
AUDIENCE INTERESTS OF SWAHILITIMES
- Music 88.35 %
- Entertainment 60.60 %
- Sports 38.95 %
- Business & Careers 36.15 %
- Art & Design 35.48 %
- Cars & Motorbikes 34.01 %
- Clothes, Shoes, Handbags & Accessories 33.71 %
- Beauty & Fashion 33.23 %
- Children & Family 32.03 %
- Luxury Goods 30.02 %
- Fitness & Yoga 29.63 %
- Technology & Science 28.80 %
RECENT POSTS
Jiunge sasa katika 'channel' ya WhatsApp ya Swahili Times kwa kubonyeza kiungo (link) kwenye bio yetu. Au Tafuta (search) jina Swahili Times kwenye uwanja wa channel za WhatsApp katika simu yako, kisha jiunge.
Katika baadhi ya maeneo ya Afrika, watu wanakabiliwa na ukosefu wa makazi kutokana na sababu kadhaa. Kuna nchi ambazo zinakumbwa na mapigano ya silaha na vurugu za ndani, na hivyo kuwalazimisha watu kuhama makazi yao kwa sababu ya usalama wao. Pia, kuna sababu za kiuchumi zinazochochea watu kuishi mitaani au katika makazi duni. Ukosefu wa ajira na umaskini zinaweza kuwa sababu kubwa ya watu kuwa bila makazi. Makazi duni na mazingira magumu katika baadhi ya maeneo, huchangia pia kuongezeka kwa watu wasio na makazi. Hii inaweza kusababisha kuenea kwa magonjwa, uhalifu, na hali ngumu ya maisha kwa watu hao.
Harufu ya miguu, inayojulikana pia kama bromhidrosis, inatokana na mchanganyiko wa mambo kadhaa, ikiwa ni pamoja na jasho, bakteria, unyevu, maambukizi kwenye ngozi ya miguu na magonjwa ya kimetaboliki. Ikiwa unapitia tatizo hili, unashauriwa kutumia Soksi zenye pamba au zenye uwezo wa kuvuta unyevu ili kupunguza harufu na kuepuka viatu vya plastiki.
FT: Geita Gold FC 0-3 Yanga SC
FT: KMC FC 1-0 IHEFU FC
Geita Gold FC 0-3 Yanga SC Maxi 68'
HT: Geita Gold FC 0-2 Yanga SC
Iran imeunga mkono shambulio la Palestina dhidi ya Israel kwa kuwapongeza wapiganaji wa Hamas na kusisitiza kuwa watasimama upande wao hadi watakapoikomboa Palestina na Jerusalem.
Ni kitu gani kinatokea mara 2 kila DAKIKA, mara 2 kila SAA na mara mbili kila MWAKA?
Leo Oktoba 7, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezuru na kufanya sala kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita.
Mahakama ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imemhukumu adhabu ya kifo mbunge wa eneo la Masisi na mfanyabiashara wa madini, Edouard Mwangachuchu (70) kwa kosa la uhaini. Mwangachuchu ambaye hakuwepo wakati ikisomwa hukumu hiyo, amepatikana na hatia ya uhaini, kumiliki silaha kinyume cha sheria na kushiriki katika harakati za uasi wa kundi la M23.
Makombora zaidi ya 5,000 yamefyatuliwa leo kuelekea Israel kutoka Ukanda wa Gaza katika shambulizi la kushtukiza lililofanywa na kundi la wanamgambo la Hamas wa Palestina na kuharibu majengo huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki na 15 kujeruhiwa. Waziri wa Ulinzi wa Israel amesema Hamas wameanzisha vita na tayari jeshi la Israel limefanya mashambulizi ya anga kama kulipiza kisasi katika Ukanda wa Gaza.
Avg Comments