Gospomedia's Instagram Audience Analytics and Demographics

@gospomedia

Tanzania

✝️ NENO LA MUNGU ✝️ HABARI NA MATUKIO ✝️ MUZIKI NA MATANGAZO 📱📞+255715454713
gos▓▓▓▓▓@gmail.com
+25▓▓▓▓▓59
Tanzania
25–34

Business Category

General Interest

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF GOSPOMEDIA

45.4% of gospomedia's followers are female and 54.6% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.19%. The average number of likes per post is 283 and the average number of comments is 11.

Gospomedia loves posting about Entertainment and Music, News, News&Politics.

Check gospomedia's audience demography. This analytics report shows gospomedia's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
250,022
Avg Likes
283
Avg Comments
11
Posts
18,205

GENDER OF ENGAGERS FOR GOSPOMEDIA

Female
45.4 %
Male
54.6 %

AUDIENCE INTERESTS OF GOSPOMEDIA

  • Music 84.59 %
  • Entertainment 66.05 %
  • Children & Family 49.73 %
  • Beauty & Fashion 42.73 %
  • Business & Careers 41.98 %
  • Art & Design 38.74 %
  • Movies and TV 31.45 %
  • Clothes, Shoes, Handbags & Accessories 31.31 %
  • Fitness & Yoga 29.79 %
  • Travel & Tourism 29.74 %

MENTIONED HASHTAGS OF GOSPOMEDIA

RECENT POSTS

15 0

AMEANDIKA @pastorbeatricemwasamwaja Mwanamke uliyepo ARUSHA na mikoa ya jirani, tunakusihi sana usikose Kongamano hili la maombi la siku mbili JUMAMOSI NA JUMAPILI, tarehe 1 na 2 Julai 2023, tarehe hizi ni lango la mwezi wa saba lakini pia ni lango la miezi sita iliyobaki kwa mwaka 2023. We need to recharge in serious prayers. Kwa Neema ya Mungu watumishi wa Mungu Mwalimu Jacqueline Mkindi @@jackiemkindi Dada Sarah Ndossi @sarah_ndosi na Shangwe Voices @shangweafrica watashiriki ibada hii yenye nguvu za Mungu zisizo za kawaida. Tutakua na Muda mzuri sana wa kusifu na kuabudu, tutajifunza Neno la Mungu na tutaomba sana sana🙏. Hata kama hujui kuomba au huwezi kuomba, wewe njoo tu. Roho Mtakatifu atakuhuisha na kukuwezesha kuomba. Mwanamke mwenzangu, maombi ndiyo silaha yako kuu. Karibu sana na ukaribishe na wengine. Mawasiliano: 0762622180, 0747770000. @pastorbeatricemwasamwaja @truelightministrytz @zephanethpanea

55 2

Mwanamke ambaye upo ARUSHA na mikoa ya jirani, unakaribishwa sana kwenye Kongamano hili la maombi la siku mbili JUMAMOSI NA JUMAPILI, tarehe 1 na 2 Julai 2023, tarehe hizi ni lango la mwezi wa saba lakini pia ni lango la miezi sita iliyobaki kwa mwaka 2023. We need to recharge in serious prayers. Kwa Neema ya Mungu watumishi wa Mungu Mwalimu Jacqueline Mkindi @jackiemkindi Dada Sarah Ndossi @sarah_ndosi na Shangwe Voices @shangweafrica watashiriki ibada hii yenye nguvu za Mungu zisizo za kawaida. Tutakua na Muda mzuri sana wa kusifu na kuabudu, tutajifunza Neno la Mungu na tutaomba sana sana🙏. Hata kama hujui kuomba au huwezi kuomba, wewe njoo tu. Roho Mtakatifu atakuhuisha na kukuwezesha kuomba. Mwanamke mwenzangu, maombi ndiyo silaha yako kuu. Karibu sana na ukaribishe na wengine. Mawasiliano: 0762622180, 0747770000. @pastorbeatricemwasamwaja @truelightministrytz @zephanethpanea

993 101

➡️ Ndoto hii inaambatana na ndoto zinazoonyesha vitendo vinavyoendana na hilo tendo,iwe kinafanyika kwa unayemjua au usiyemjua. ➡️ Kila wakati mtu anapoota ndoto hizo,kuna kitu kinauwawa kwenye maisha yake iwe ni uchumi,afya,elimu,ndoa, kazi, biashara,kipawa, huduma n.k,kuna sehemu ya milki yake katika roho inaondolewa na matokeo huonekana katika ulimwengu wa mwili baada ya muda kidogo. 1️⃣ Tendo hilo hufanyika dhabihu na sadaka kwa miungu mingine katika roho,ili kukuunganisha nafsi yako na maagano ya miungu mingine,yenye lengo la kuua vitu/mambo mbalimbali katika maisha yako na kukuondolea umiliki wako. ⭕️📖Isaya 57:6-9 6 Sehemu yako i katika makokoto ya bonde; hayo ndiyo kura yako; umeyamwagia hayo sadaka ya kinywaji, umeyatolea sadaka ya unga; je! Niwe radhi na mambo hayo? 7 Umeweka kitanda chako juu ya mlima mrefu ulioinuka sana; ukaenda huko ili kutoa dhabihu. 8 Na nyuma ya milango na miimo umeweka kumbukumbu lako; kwa maana umejifunua nafsi yako kwa ajili ya mwingine, si kwa ajili yangu, ukakwea juu; umekipanua kitanda chako, nawe umefanya maagano na hao; ulikipenda kitanda chao hapo ulipokiona. 9 Ulimwendea mfalme na mafuta ya marhamu, ukaongeza manukato yako, ukawatuma wajumbe wako waende mbali, ukajidhili sana hata kuzimu. ⭕️📖Hosea 9:1,6 1 Usifurahi, Israeli, kwa sababu ya furaha, kama hao mataifa; kwa kuwa umezini juu ya Mungu wako, umependa ujira katika kila sakafu ya nafaka. 6 Kwa maana, tazama, wamekwenda zao ili kukimbia uharibifu, lakini Misri itawakusanya, Nofu itawazika; vitu vyao vya fedha viwapendezavyo, magugu yatavimiliki; miiba itakuwa katika hema zao. ☑️Somo hili tutalianza kujifunza kwa upana tarehe 1 Julai 2023 kwenye group letu la Telegram,na tutahitimisha kwa maombi kwenye semina ya tarehe 25 hadi 30 Septemba 2023. ☑️ Tutajifunza tafsiri yake, sababu ni nini, na nini kifanyike ili mtu ashinde katika hili. ☑️ Link ya kujiunga group la Telegram ipo kwenye kwenye bio yetu au wasiliana nasi kwa 0742549006 tukuunge kwenye group. ☑️ Follow akaunti zetu; @mwalimu_rose_damian @Praise_and_worship_media

7 0

Huduma ya @umwema_ministry iliyopo jijini Mwanza chini ya mtumishi wa Mungu Mwalimu Catherine P. Sesse @cathyjessy inakukaribisha kwenye IBADA YA DIVINE INTERVENTION itakayofanyika tarehe 1 Septemba 2023 Jijini Mwanza. Kwa mawasiliano zaidi kuhusu kushiriki Ibada hii piga simu namba +255658679540 na kwa chochote utakachoguswa kuchangia tumia namba hizi hapa: TIGO PESA 0658679540 JINA: U MWEMA WORSHIP MINISTRY M-PESA LIPA NAMBA: 5394438 CRDB BANK: 0133734108900 JINA: U MWEMA WORSHIP MINISTRY Watu wote kutoka madhehebu yote mnakaribishwa sana. 🙏 KWA UPDATES NYINGI ZAIDI KUHUSU IBADA HII KUBWA FOLLOW: @umwema_ministry @cathyjessy @umwema_ministry @cathyjessy #umwemaworshipministry

364 7

Neno la Imani kutoka kwa mtumishi wa Mungu @cdmwakasegeofficial wa huduma ya MANA MINISTRY.

238 3

Neno la Hekima kutoka kwa mtumishi wa Mungu: @pastor_roseshaboka kutoka kanisa la Madhabahu ya Moto lililopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam, Tanzania.

115 2

Neno la hekima kutoka kwa mtumishi wa Mungu: @pastordolaa wa huduma ya Elevate Ministry, Arusha. Kwa ushauri na maombi wasiliana naye kupitia instagram, TikTok, Facebook na YouTube @pastordolaa :: Kujiunga na Group lake la whatsapp kwa ajili ya kupata mafundisho haya, Kwa maombi, ushauri na sadaka tumia simu namba +255614914849. @pastordolaa

291 9

AMEN🙏

693 13

Neno la Imani kutoka kwa Mtumishi wa Mungu @pastorellymwasenga Mchungaji Kiongozi wa kanisa la Divine Life Church lililopo UBUNGO GEREJI, UKUMBI WA SHELI YA VICTORIA, jijini Dar es salaam. Kwa huduma ya ushauri na maombi mpigie simu @pastorellymwasenga +255766725916, Karibu sana kanisani; Divine Life Church.

37 0

KATIKA MATHAYO SURA YA 5-7 BIBLIA INAANDIKA MAFUNDISHO YA KWANZA YA YESU YALIYO MAARUFU KWA JINA LA HOTUBA YA MLIMANI, mafundisho haya ni msingi wa muhimu kwa waamini.! MATHAYO 5:8 "heri wenye moyo safi, kwa maana hao watamuona Mungu" (SUV) Pata muda wako nenda youtube akaunti inaitwa PASTOR DANIEL A.M utakutana na somo kwa kirefu.! @pastordanielam Wewe ni mbarikiwa #tunaruka

1,054 27

Neno la Hekima kutoka kwa mtumishi wa Mungu: @pastor_roseshaboka kutoka kanisa la Madhabahu ya Moto lililopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam, Tanzania.

27 0

Kutoka kwenye LIVE Recording Jean City Music Concert iliyofanyika 2023 kaa tayari kupokea video mpya kutoka kwa mtumishi wa Mungu @jeanngoyiofficial wimbo unaitwa HAKUNA WA KUFANANA NA YESU akiwa na kundi la kusifu na kuabudu WIND OF WORSHIP kaa tayari kupokea baraka kupitia wimbo huu kama bado hujajiunga na channel yake ya YouTube (JEAN NGOYI) basi fanya hivyo sasa hivi na hakika utabarikiwa sana na mtumishi huyu @jeanngoyiofficial @jeancitymusic #hakunawakufanananaYesu

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

10.5K
-
-
Tanzania Fashion and Accessories, Product Showcase, Auto and Vehicles, Health and Medical Services
116.2K
-
0.18 %
Tanzania Entertainment and Music, Education, Celebrity, Singer, Entertainment
4K
78 / post
1.51 %
Tanzania Fashion and Accessories, News, Celebrities, Design
3.8K
-
1.36 %
Tanzania Fashion and Accessories, Arts and Crafts
14.9K
-
1.77 %
Tanzania Fashion and Accessories
36.7K
-
0.94 %
Tanzania Entertainment and Music
108.5K
149 / post
0.06 %
Tanzania Fashion, Pets, Singer
410K
-
0.03 %
Tanzania Entertainment and Music, Health and Medical Services, Singer
29K
-
0.10 %
Tanzania Funny, Singer
1.8K
-
6.70 %
Tanzania Food
23.8K
-
0.69 %
Tanzania Education, Fitness and Health, Business and Finance
12.4K
53 / post
0.14 %
Tanzania Product Showcase, News, Celebrities, Jewelry Watches, Jewelry/Watches, Personal Goods & General Merchandise Stores
29.1K
-
-
Tanzania Fashion and Accessories, Singer
192.1K
-
0.23 %
Tanzania Entertainment and Music, Marketing and Advertising, Singer
245.5K
-
0.01 %
Tanzania Fashion and Accessories, Lifestyle