Cloudsmediatz's Instagram Audience Analytics and Demographics
@cloudsmediatz
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF CLOUDSMEDIATZ
Average engagement rate on the posts is around 0.09%. The average number of likes per post is 194 and the average number of comments is 5.
Check cloudsmediatz's audience demography. This analytics report shows cloudsmediatz's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR CLOUDSMEDIATZ
MENTIONED HASHTAGS OF CLOUDSMEDIATZ
RECENT POSTS
Wakati Waziri wa Michezo wa Rwanda Mhe. Munyegaju Aurore Mimosa akipokea jezi ya Yanga kwa niaba ya Rais Paul Kagame, aliulizwa kama yupo tayari kupokea kadi ya uanachama ya Yanga nayeye bila hiyana akasema yupo tayari kuipokea! Mhe. Mimosa amesema, kwa Rwanda yeye ni shabiki wa Rayon Sports lakini kwa Tanzania kuanzia sasa ni rasmi yeye ni Mwananchi.
Klabu ya Yanga ikiongozwa na Rais wake Eng. Hersi Said [caamil_88] pamoja na Kamati ya Utendaji, wamekabidhi jezi kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame ambapo jezi hiyo imepokelewa na Waziri wa Michezo wa Rwanda Mhe. Munyegaju Aurore Mimosa. Mhe. Kagame ameshindwa kuipokea jezi ya Yanga yeye mwenyewe kwa sababu yupo nchini Cuba kwa majukumu ya kitaifa. Kuelekea mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merrikh ambao utachezwa kwenye uwanja wa Pele, Kigali Rwanda, Eng. Hersi amemwalika Mhe. Munyegaju Aurore Mimosa kushuhudia mchezo huo.
Yanga hatujaja hapa [Rwanda] kufanya utalii, tumekuja kutafuta ushindi. Wapo watu wanaoweza kuomba dua ili tushinde, wafanye hivyo. Viongozi tupo kuhakikisha wachezaji wanatoa damu na jasho ili timu ishinde. Wachezaji siku hizi wanataka ‘mzigo’ ili wakimaliza shughuli uwanjani mifuko yao icheke. Lakini kabla ya yote hayo tumesajili kikosi imara ili kitupe matokeo, haya mengine yote hayawezi kufanya kazi kama una timu mbovu. Chini ya uongozi wangu Yanga itaendelea kupanda tu! Mimi kama Rais wa klabu hii nawaambia hatuwezi kufeli na mimi sijawahi kufeli mtihani katika mtihani wowote. Eng. Hersi Said, Rais Yanga.
TANZIA: Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva @haithamkim amefariki Dunia mchana huu katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa akipatiwa matibabu. Taarifa ya Msiba imethibitishwa na Dada wa Mume wa Hatham ambaye amezungumza na @johnjakson_tz dakika chache zilizopita kupitia #XXLyaCloudsFM. Clouds Media tunatoa salamu za pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Mashabiki wote wa muziki wa Haitham Kim. Sote ni wana wa M/Mungu na kwake tutarejea. 🙏🏽 #TutaonanaBaadae #CloudsDigitalUpdates
NGAO YA JAMII 2023|24 🏆 Sinba SC ikikabidhiwa ngao ya jamii baada ya ushindi wa mikwaju 3-1 dhidi ya Yang SC
TANGA | Kombe la kwanza kwa Kocha mkuu wa Simba SC tangu akanyage ardhi ya Tanzania
TANGA | Kombe la kwanza kwa Kocha mkuu wa Simba SC tangu akanyage ardhi ya Tanzania
Mchezo umemalizika naSimba SC ni mabingwa wa Ngao ya jamii 2023|24 FT Simba 0-0 Yanga Pen 3-1 Waliopiga Penati SIMBA Mzamiru ✅ Saido ❌ Phiri ❌ Onana ✅ Baleke ✅ YANGA Aziz Ki ✅ Aucho ❌ Pacome ❌ Yao ❌
TANGA | Dakika 90 zimemalizika hakuna timu iliyopata bao FT Simba SC 0-0 Yanga SC Muda wa matuta
Kilele cha CRDB International Marathon kinahitimishwa kwa burudani ya pambano la watani wa jadi kwenye big screen 🙌🏿 #KasiIsambazayoTabasamu
TANGA | Nje ya uwanja wa Mkwakwani hawa hapa Mashabiki wa Yanga na midondoko kama Skudu , ndani ya uwanja kuumia kwa Skudu ni kukamiwa ! 🎤 @tariqfinest 🎥 @twicenho Shavu la milioni 40 la Simba Sports Club kupitia "Shabiki Bingwa Jackpot" yenye jumla ya mtonyo wa MILIONI 40 ambapo kila saa wanaibuka washindi 80 kila mmoja akibeba shilingi laki tano yake kama Shabiki bingwa bado linaendelea. Cheza sasa Shabiki bingwa kwa kuingia kwenye menyu yako ya simu, Tigo pesa au Mpesa weka namba ya kampuni ambayo ni 909192 Kumbukumbu namba weka neno SIMBA utaweka kiasi ambacho ni buku tu na kuendelea na kwa wewe mtumiaji wa Artel money utaingia lipa bill chagua namba 6 bahati nasibu andika namba 27 kisha Kumbukumbu namba weka neno SIMBA. Ushiriki ni miaka 18 na kuendelea,tafadhali cheza kiasi. SHABIKI BINGWA WA SIMBA, UNYAMA NI MWINGIII 💪🏾
TANGA | Dakika 45’ za kipindi cha kwanza zimemalizika hakuna timu iliyopata bao HT Simba SC 0-0 Yanga SC
Avg Comments