Wizara ya Afya Tanzania
Ukurasa rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 S.L.P 743 Dodoma Barua pepe;
-% of @wizara_afyatz's followers are female and -% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.03%. The average number of likes per post is 129 and the average number of comments is 5.
@wizara_afyatz loves posting aboutProduct Education, Politics.
415,576
Followers
0.03%
Engagement Rate
134
Engagement per post
129
Average likes per post
5
Average comments per post
77,593
Global Rank
-
Country Rank
-
Category Rank
Follower and Post Growth Trends
Engagement Rate Growth Trends
Audience Gender
Dominating Age Group
Interests
Engagement Rate
Likes and Comments
Notable Influencers
Audience Brand Affinity
Similar Accounts
Recent Posts
WAZIRI UMMY ATAKA CHANJO YA MALARIA IANZE KUTOLEWA NCHINI Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameitaka Bodi ya Taasisi ya Taifa ya utafiti wa magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kushirikiana na kamati ya chanjo ya taifa kuharakisha mchakato wa kufanya tathmini ya chanjo ya Malaria ili Serikali ianze kutoa kwa wananchi. Waziri Ummy amesema hayo leo katika uzinduzi wa Baraza jipya la Taasisi hiyo uliofanyika leo hii Jijini Dar es salaam. Waziri Ummy amesema NIMR imeshiriki kufanya utafiti wa kupata chanjo ya malaria ambayo tayari imesha thibitishwa na shirika la afya Duniani kuwa inafaa kutumika. "Kwahiyo naomba mfanye mchakato haraka wa kuithibitisha chanjo, kwa kuanzia chanjo hiyo itatolewa kwa yule ambae yupo tayari kulipia kwa gharama zitakazo wekwa lakini Serikali itaangalia kama itaweza kutoa kwa watoto chini ya miaka mitano". Amesema Waziri Ummy. Aidha, Waziri Ummy ameitaka NIMR kuweka nguvu katika kuhakikisha wanafanya tafiti zenye kuleta manufaa kwa wananchi ili kuiwezesha Serikali kuchukua maamuzi haraka katika utoaji wa huduma za Afya Nchini. "Zaidi ya asilimia 60 ya Watanzania wanatumia dawa za tiba asili lakini watu wanakunywa dawa bila kufuata dozi maalum, sasa naitaka NIMR itupe ushahidi wa kisayansi juu ya dawa hizo na dozi inayo hitajika kwa dawa husika". Ameongeza Waziri. Nae Mganga mkuu wa Serikali Dkt. Aifello Sichalwe amelitaka Baraza hilo kuwa kiunganishi kizuri kati ya sekta ya Afya na watafiti mbalimbali wa masuala ya Afya wa ndani na nje ya nchi. "Natumaini Bodi itasaidia kuweka mazingira bora katika kuifahamisha Wizara kwa ajili ya maamuzi na utungaji wa sera lengo ni kuharakisha mchakato wa kupata vibali bila kuathiri thamani na ubora wa tafiti". Amesema Dkt. Sichalwe Kwa upande wake Mwenyekiti wa bodi hiyo Dkt. Andrew Kitua wakati wa kutoa shukurani ameahidi kushirikiana na wizara pamoja na taasisi zingine za utafiti ili kufanya tafiti zenye kuleta manufaa kwa wananchi. MWISHO.
127
10
FEDHA ZA MIRADI ZIENDANE NA THAMANI YA MRADI- MWAKITALIMA Na. WAF, IKUNGI - SINGIDA Mratibu wa Mradi wa Huduma Endelevu wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini, kutoka Wizara ya Afya Ndg. Anyitike Mwakitalima ameitaka mikoa 17 na Halmashauri 86 nchini zinazotekeleza mradi wa Huduma Endelevu za Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (Sustainable Rural Water Supply and Sanitation) kuhakikisha kazi zinazotekelezwa chini ya mradi huo zinakua na thamani inayo akisi fedha iliyotolewa yaani “Value for Money”. Mwakitalima ametoa kauli hiyo leo wakati akiendelea na zoezi la usimamizi wa mradi wa Huduma Endelevu za Maji na Usafi wa Mazingira vijijini, katika halmashauri ya wilaya ya Ikungi Mkoani Singida ambapo amesema fedha iliyotolewa iwe na uwiano sawa na kazi iliyofanyika ili kuongeza tija ya mradi huo kwa wananchi wa eneo husika. “Nasisitiza kwa ujumla Halmashauri zote zinazotekeleza mradi huu kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi kwani inaonekana wako nyuma na sisi tunataka mradi ukamilike kwa wakati na kuanza kutoa huduma kwa wananchi”. Amesisitiza Mwakitalima. Vile vile Mwakitalima ameongeza kuwa halmashauri hizo zinatakiwa kuhakikisha kunafanyika usimamizi wa karibu ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa mradi. Pia Mwakitalima amekumbushia baadhi ya shughuli zilizokuwa zimesaulika nazo ziweze kufanyiwa kazi ili kuleta ukamilifu wa mradi na kwa manufaa makubwa yaliyokusudiwa. Aidha, Mwakitalima amemtaka Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Puma iliyopo katika kata ya Puma Halmashauri ya Ikungi kuhakikisha ifikapo Jumanne ya wiki ijayo vyoo vilivyojengwa chini ya mradi wa Huduma Endelevu za Maji na Usafi wa Mazingira vijijini mwaka jana vinaanza kutumiwa na wananchi wanaofata huduma katika zahati hiyo. “Haiwezekani vyoo vimekamilika tangu mwaka jana na mfumo wa maji upo vizuri halafu havitumiki eti mnasubiri vizinduliwe, hakuna kitu kama hicho vyoo vitoe huduma kwa wananchi ili kuleta manufaa yaliolengwa katika mradi”. Ameeleza Mwakitalima. Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Ndung’unyi, iliyopo katika kata ya Ndung’unyi Halmashauri ya Ikungi, Mkoa wa Singida, Dkt. Advera Thadeo amesema anaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia .
116
2
* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These information including images, texts, videos, posts and profiles are published on public domains and respective social media for public viewing.
FAQ: Instagram Statistics and Insights for @wizara_afyatz
How can I access Instagram statistics and analytics for @wizara_afyatz?
StarNgage offers comprehensive analytical reports that provide key metrics and insights to give you a complete understanding of @wizara_afyatz. You can explore various aspects, including Instagram follower statistics, such as follower and post growth trends, Engagement Rate, and its growth trends. Additionally, you can access information on the average number of likes and comments per post, insights into your followers or audience demographics, brand affinity data, mentions of relevant hashtags, similar accounts, and the most recent posts.
What is the current follower count for @wizara_afyatz on Instagram?
As of the latest update, @wizara_afyatz has accumulated a dedicated following of 415,576 followers on Instagram.
What insights and analytics are included in the full report for @wizara_afyatz on Instagram?
Our full Instagram analytical report provides a comprehensive overview of @wizara_afyatz on Instagram. This report includes detailed information on follower growth over time, engagement metrics, and post frequency, both on a weekly and monthly basis. To access this in-depth report, kindly register and create a new StarNgage account or log in to your existing account.
Can I track how @wizara_afyatz Engagement Rate has evolved on Instagram?
Yes, StarNgage's analytics tools allow you to monitor the evolution of @wizara_afyatz Engagement Rate over time on Instagram. This data helps you assess the effectiveness of @wizara_afyatz engagement strategies.
How can understanding @wizara_afyatz audience's demographics on Instagram?
Gaining insights into @wizara_afyatz audience's demographics on Instagram can be immensely valuable. It enables you to tailor your influencer content and marketing strategies to better resonate with @wizara_afyatz followers, as you'll have information about their age, gender, location, and interests.
How can I leverage brand affinity data to improve my marketing strategy on Instagram with @wizara_afyatz?
Brand affinity data is a powerful tool to understand which brands or products your audience is most interested in. This information can guide your content collaborations and partnerships on Instagram, enhancing your engagement with your target audience.