Football Pundit Wasafi Media INFLUENCER : @dstvtanzania @winprincesstz Twitter: @george_ambangil
12% מהעוקבים של @georgeambangile הם נשים ו88% הם גברים. המדד הממוצע של מידת ההתרגשות בפוסטים נע בקרב 0.6%. מספר הלייקים הממוצע לפוסט הוא 5,507 ומספר התגובות הממוצעת הוא 119.
@georgeambangile אוהב לפרסם עלבידור ומוזיקה, כדורגל, זמר.
845,940
עוקבים
0.6%
מדד התרגשות
5,626
התרגשות לפוסט
5,507
לייקים ממוצעים לפוסט
119
הערות ממוצעות לפוסט
21,776
דירוג עולמי
885
דירוג הארץ
49
דירוג הקטגוריות
גידול עוקבים ופוסטים
מגמות גידול במדד התרגשות
מגדר הקהל
קבוצת הגיל המובילה
תחומי עניין
מיונקים - חשבונות
מישובים - האשטאגים
10
מדד התרגשות
לייקים ותגובות
אינפלואנסרים בולטים
השוק המטרה של הקהל המתרגש מ-<no value>
פוסטים אחרונים
𝐔𝐊𝐈𝐒𝐈𝐍𝐙𝐈𝐀...𝐔𝐓𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈𝐁𝐈𝐖𝐀 ✍Namungo kipindi cha kwanza waliamua kucheza kama Dodoma jiji FC ..matumizi ya nguvu zaidi kuliko akili , wakaanza kucheza faulo nyingi hata maeneo ambayo hayana ulazima au hatari ya kucheza faulo ...matokeo yake wakaacha kucheza mpira dhidi ya Simba ambao hawakuuliza maswali magumu sana kwenye idara yao ya kiungo na ulinzi ✍Kutoka namba 10 mpaka kwenye viungo wawili wa kati kulimpa nafasi kubwa Rally Bwalya kutawala mpira na kupiga pasi sana hasa za mbele lakini tatizo mbele yake hakukuwa na movements za kutosha ukiacha Kibu Denis lakini Mhilu kwa kasi yake ungetegemea aombe mipira nyuma ya beki wa pembeni pamoja na Morisson lakini wote walitaka mpira mguuni na mbele ya mabeki wa pembeni wa Namungo . Rahisi kuzuia kwa vijana wa Hemed ✍Makame na Tangalu unapata viungo ambao sio wazuri kwenye kupiga pasi lakini pia wanachelewa kunusa hatari, jumlisha na mshambuliaji ambaye anasimama zaidi kuliko kushambulia nafasi zilizo wazi ....hapo inakuwa ngumu kwa timu yako kutoka nyuma kirahisi na hata Simba hawakuhitaji kuwa press Namungo bali vijana hao wa Lindi walipoteza wenyewe mipira kirahisi . ✍Simba SC bado wanacheza kwa nyakati ..nikimaanisha wanasubiri jambo la ajabu litokee ...Bwalya afanye jambob, Kibu afanye jambo , Morisson afanye jambo bado ule muendelezo wa muundo sahihi wa uchezaji haujakaa sawa hasa wakivuka mstari wa kati NOTE 1: Sielewi kwanini Makame alikuwa analalamika baada ya kadi nyekundu ...na ndio maana kocha wake alichukia alijua kwamba kiungo wake yupo matatizoni . Red Card 2: Morisson amepona ...alistahili kadi nyekundu. Sijui huwa anafikiriaga nini uwanjani . 3: Simba bado wanakosa ufanisi na umakini katika umaliziaji 4: Ukimpa muda na nafasi kwenye mpira Ajibu ataiona na kuipiga pasi sahihi . Dakika chache ameonesha nini anaweza kufanya 5: Namungo walisinzia mwishoni ..Ajibu na Zimbwe wapo karibu ..ishara ipo pale kwamba kuna wanaweza kuanziana lakini kuna mchezaji mmoja wa Namungo Vs wawili wa Simba ...wakapewa adhabu na mfumania nyavu. 6: Nahimana 🔥🔥🔥🔥
5,823
155
KWA MARA NYINGINE TENA ✍Atalanta wamezoea kucheza na Back 3 , na leo dhidi ya United wameonesha sura nyingine ya mfumo wa kiuchezaji ...katika mabeki watatu wa nyuma De Roon alikuwa anabadilisha nafasi na kiungo mmoja wa kati ..yeye akisogea juu kiungo anashuka chini wakati kiungo mwingine Frauler yeye anatanua pembeni na wale viungo wawili washambuliaji wanakuwa nyuma ya viungo wawili wa United lakini katika " Half spaces " kwanini wanafanya hivyo ? ✍Wanajua pressing ya United haipo sawa ( not organized ) wanakwenda mmoja mmoja kwahiyo ukitanua uwanja utawafanya watafute mpira sehemu kubwa ya uwanja ...na kama wakifuata mpira pembeni maana yake viungo wa United wanakuwa wametengwa ..inakuwa rahisi kufika nyuma ya safu ya kiungo United kwasababu mmoja kati ya Pogba au Scott atalazimika kwenda pembeni kusaidia kupata mpira na hapo ndio Pasalic na Ilicic wanapata eneo kubwa la kupokea mpira . ✍United jinsi wanavyocheza ni soka la matumaini ...huoni wakiwa na mpira kuanzia nyuma nini wanajaribu kufanya , wakiwa kwenye kiungo maelekezo yao ni yapi ...ni kama vile wanategemea maajabu ya Bruno, Ronaldo, Rashford , Cavani au Mason lakini huoni muundo sahihi wakati wa kuanza nyuma au wasipokuwa na mpira ...wana press vipi ?? Au wakirudi nyuma bado wanaacha magap makubwa sana ...mfano hai magoli yote mawili : Ilicic alikuwa huru ( De Gea kosa lake lile angeweza ku save ) na goli la Zapata ...achana na Zapata angalia aliyepiga pasi alikuwa huru kabisa hakuna presha kwenye mpira . NOTE 1: Gian Piero Gasperin atakuwa ana huzuni sana kwasababu timu yake ilikuwa bora uwanjani lakini walishindwa kutoa adhabu 2: Mpambano mzuri sana baina ya Zapata na Bailly . 🔥🔥🔥 wote walikuwa katika ubora mzuri sana leo 3: Harry Maguire ni Pauni Milioni 80 ??? Kweli ? Shaw naye tangu baada ya Euro 2020 ...chini ya kiwango 4: BRUNO NA CR7 wana ajenda yao ya siri ya kulinda kibarua cha OLE SOLSKJAER si bure aiseeee . Timu inaweza isicheze vizuri lakini wao wakafanya jambo @dstvtanzania @winprincesstz
8,657
226
𝐓𝐀𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐏𝐔𝐍𝐈 ...! ✍Mechi nyingine , pointi tatu zingine na wanaendelea kubaki kileleni mwa msimamo kabla ya mapumziko ya mechi za kimataifa ✍Ruvu Shooting walianza mechi vizuri , uthubutu wa kufanya pressing kwa 4-1-4-1 wakitumia mshambuliaji mmoja mbele kuweka presha kwa Job na Bakari huku wanne nyuma yake wakisubiri pasi ifike katikati ya uwanja waanze kuweka presha kwenye mpira ..maana yake waliwalazimisha Yanga kucheza zaidi nyuma au kupiga mipira mirefu pembeni kwa Yacouba na Moloko hakukuwa na njia katikati ✍Kitu ambacho Yanga walisinzia dakika 15 za kwanza walikuwa wanachelewa kuweka presha kwenye mpira pale Ruvu wakiwa na mpira ..walipata onyo mara ya kwanza Diarra alifanya save ikawa kona , baadae wakafungwa kwasababu wakati Shabani yupo na mpira wachezaji wa Yanga walikabia macho, hakukuwa na presha kwenye mpira ..shuti kumbabatiza Kibwana..kambani . Hata baada ya goli Ruvu bado walikuwa wanapasiana kwa uhuru , kwasababu walizawadiwa space kubwa ya kufanya hivyo ✍Baada ya kadi nyekundu ...mambo yalibadilika , Yanga walitumia faida ya kuwa na mchezaji mmoja zaidi ( spare man ) ikawalazimu Ruvu kushuka chini , hapo Bangala alikuwa huru sana na kuanza kupiga pasi za mbele zaidi huku Mukoko akiwa tayari kupora tena mpira pale Yanga wakipoteza ...kazi ngumu kucheza ukiwa pungufu . ✍Kipindi cha pili ilikuwa mechi ya Ushambuliaji Vs Ulinzi ....Ruvu ilibidi wazuie zaidi na Yanga washambulie zaidi ...ikabaki nani anaweza kuwa mfanisi katika jukumu lake , na Yanga walisogeza wachezaji wengi mbele , pasi haraka haraka na waliokuwa wanakimbia bila mpira waliwavuruga sana Ruvu ( Runners ) hasa Djuma na Bryson NOTE 1: Zuberi Dabi kwangu mimi alitakiwa kufanya " tactical foul " kwa Mayele kabla ya Santos kufanya faulo ...kanuni ni kanuni ukiwa wa mwisho vile ukiukosa mpira upo matatizoni . Red Card 2: Kwangu mimi haikustahili kuwa penati ...mwamuzi kuonesha ishara ya mpira kushikwa na Sonso ndio ilinishtua...labda angeonesha ishara ya Sonso kumchezea faulo Mayele kwa kumshika . 3: Fei Toto ...what a strike . Hakuna namna ambayo Makaka ange save ile 4: Makaka anazidi kuwa kipa mzuri 5: Beki wa kulia wa Ruvu 🔥🔥 Nathaniel
5,335
120
* זכויות יוצרים: יוצרי התוכן הם ברירת המחדל כבעלי זכויות יוצרים. מידע זה כולל תמונות, טקסטים, סרטונים, פוסטים ופרופילים הפורסמים בתחומים ציבוריים ומדיות חברתיות קשורות לשימור הזכויות הישות.
שאלות נפוצות: נתונים אנליטיים ותובנות עבור Instagram של @georgeambangile
איך אני יכול לקבל נתונים סטטיסטיים וניתוח של החשבון של @georgeambangile ב-Instagram?
StarNgage מציעה דוחות אנליטיים מקיפים המספקים מדדים מרכזיים ותובנות שיעניקו לך הבנה מלאה של @georgeambangile. תוכל לחקור תחומים שונים, כולל נתונים סטטיסטיים של העוקבים ב-Instagram, כמו צמיחת העוקבים והפוסטים, מדד התרגשות, וגידולו. בנוסף, תוכל לקבל מידע על מספר הלייקים והתגובות הממוצעים לפוסט, רקע על קהל יעד העוקבים או הקהל, מידע על העדפת המותג, תגובות לתגיות רלוונטיות, חשבון דומה, והפוסטים האחרונים.
מהו מספר העוקבים הנוכחי למעקב אחר @georgeambangile ב-Instagram?
לפי עדכון המותג האחרון, @georgeambangile צבר 845,940 עוקבים ממוקדים ב-Instagram.
מהנתונים הסטטיסטיים והניתוחיים שפורסמים בדוח המלא עבור @georgeambangile ב-Instagram?
הדוח האנליטי המלא של Instagram שלנו מספק מבט מקיף על @georgeambangile ב-Instagram. הדוח כולל מידע מפורט על צמיחת העוקבים מאורך זמן, מדדי התרגשות ותדידי הפרסום, כל אחת בבסיס שבועי ורבעוני. כדי לקבל גישה לדוח המקיף הזה, עליך להירשם וליצור חשבון חדש ב-StarNgage או להיכנס לחשבון הקיים שלך.
האם אני יכול לעקוב אחר התפתחותו של מדד התרגשות של @georgeambangile ב-Instagram?
כן, כלי הניתוח של StarNgage מאפשרים לך לעקוב אחר התפתחות מדד התרגשות של @georgeambangile במהלך הזמן ב-Instagram. ניתוח זה יסייע לך להעריך את היעילות של האזנת התפתחותה של @georgeambangile.
איך אני יכול להבין את דמוגרפיית הקהל של @georgeambangile ב-Instagram?
רכיבת כלי הבנת הדמוגרפיים של קהל העוקבים של @georgeambangile ב-Instagram יכולה להביא בראש פתרונות מתאימים אתתךהארתומרכה לקהל העוקבים של @georgeambangile, מידע זה חשוב לך בשלבים בהם יהיה לך מידע אודות גילם, מגדרם, מיקומם ותחומי העניין שבהם מתעניינים.
איך אני יכול למקם את ההתמקדות במותג ככלי בראשות המאמץ הפרסומי שלי על-פי הדאטה של אנליטיקת המותגים ל-Instagram של @georgeambangile?
דאטה ומידע בנוגע להתמקדות במותג הוא כלי חזק להבנה של המותגים או המוצרים שהקהל שלך הוא הכי מתעניין בהם. מידע זה יכול לנתח את קמפייניות תוכן ואירועים ב-Instagram, ולשפר את ההיכרות שעמה מהמותג שלך עם הקהל שלו.