Football Pundit Wasafi Media INFLUENCER : @dstvtanzania @winprincesstz Twitter: @george_ambangil
12% dei follower di @georgeambangile sono donne e il 88% sono uomini. Il tasso di coinvolgimento medio sui post è di circa il 0.6%. Il numero medio di like per post è 5,507 e il numero medio di commenti è 119.
@georgeambangile ama pubblicare suHiburan dan Musik, Sepak Bola, Penyanyi.
845,940
Pengikut
0.6%
Tingkat Keterlibatan
5,626
Keterlibatan per posting
5,507
Rata-rata suka per posting
119
Rata-rata komentar per posting
21,776
Peringkat Global
885
Peringkat Negara
49
Peringkat Kategori
Tren Pertumbuhan Pengikut dan Posting
Tren Pertumbuhan Tingkat Keterlibatan
Target Pembaca Menurut Jenis Kelamin
Kelompok Usia Utama
Tingkat Keterlibatan
Suka dan Komentar
Influencer Penting
Kecenderungan Merek Target Pembaca
Postingan Terkini
𝐔𝐊𝐈𝐒𝐈𝐍𝐙𝐈𝐀...𝐔𝐓𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈𝐁𝐈𝐖𝐀 ✍Namungo kipindi cha kwanza waliamua kucheza kama Dodoma jiji FC ..matumizi ya nguvu zaidi kuliko akili , wakaanza kucheza faulo nyingi hata maeneo ambayo hayana ulazima au hatari ya kucheza faulo ...matokeo yake wakaacha kucheza mpira dhidi ya Simba ambao hawakuuliza maswali magumu sana kwenye idara yao ya kiungo na ulinzi ✍Kutoka namba 10 mpaka kwenye viungo wawili wa kati kulimpa nafasi kubwa Rally Bwalya kutawala mpira na kupiga pasi sana hasa za mbele lakini tatizo mbele yake hakukuwa na movements za kutosha ukiacha Kibu Denis lakini Mhilu kwa kasi yake ungetegemea aombe mipira nyuma ya beki wa pembeni pamoja na Morisson lakini wote walitaka mpira mguuni na mbele ya mabeki wa pembeni wa Namungo . Rahisi kuzuia kwa vijana wa Hemed ✍Makame na Tangalu unapata viungo ambao sio wazuri kwenye kupiga pasi lakini pia wanachelewa kunusa hatari, jumlisha na mshambuliaji ambaye anasimama zaidi kuliko kushambulia nafasi zilizo wazi ....hapo inakuwa ngumu kwa timu yako kutoka nyuma kirahisi na hata Simba hawakuhitaji kuwa press Namungo bali vijana hao wa Lindi walipoteza wenyewe mipira kirahisi . ✍Simba SC bado wanacheza kwa nyakati ..nikimaanisha wanasubiri jambo la ajabu litokee ...Bwalya afanye jambob, Kibu afanye jambo , Morisson afanye jambo bado ule muendelezo wa muundo sahihi wa uchezaji haujakaa sawa hasa wakivuka mstari wa kati NOTE 1: Sielewi kwanini Makame alikuwa analalamika baada ya kadi nyekundu ...na ndio maana kocha wake alichukia alijua kwamba kiungo wake yupo matatizoni . Red Card 2: Morisson amepona ...alistahili kadi nyekundu. Sijui huwa anafikiriaga nini uwanjani . 3: Simba bado wanakosa ufanisi na umakini katika umaliziaji 4: Ukimpa muda na nafasi kwenye mpira Ajibu ataiona na kuipiga pasi sahihi . Dakika chache ameonesha nini anaweza kufanya 5: Namungo walisinzia mwishoni ..Ajibu na Zimbwe wapo karibu ..ishara ipo pale kwamba kuna wanaweza kuanziana lakini kuna mchezaji mmoja wa Namungo Vs wawili wa Simba ...wakapewa adhabu na mfumania nyavu. 6: Nahimana 🔥🔥🔥🔥
5,823
155
KWA MARA NYINGINE TENA ✍Atalanta wamezoea kucheza na Back 3 , na leo dhidi ya United wameonesha sura nyingine ya mfumo wa kiuchezaji ...katika mabeki watatu wa nyuma De Roon alikuwa anabadilisha nafasi na kiungo mmoja wa kati ..yeye akisogea juu kiungo anashuka chini wakati kiungo mwingine Frauler yeye anatanua pembeni na wale viungo wawili washambuliaji wanakuwa nyuma ya viungo wawili wa United lakini katika " Half spaces " kwanini wanafanya hivyo ? ✍Wanajua pressing ya United haipo sawa ( not organized ) wanakwenda mmoja mmoja kwahiyo ukitanua uwanja utawafanya watafute mpira sehemu kubwa ya uwanja ...na kama wakifuata mpira pembeni maana yake viungo wa United wanakuwa wametengwa ..inakuwa rahisi kufika nyuma ya safu ya kiungo United kwasababu mmoja kati ya Pogba au Scott atalazimika kwenda pembeni kusaidia kupata mpira na hapo ndio Pasalic na Ilicic wanapata eneo kubwa la kupokea mpira . ✍United jinsi wanavyocheza ni soka la matumaini ...huoni wakiwa na mpira kuanzia nyuma nini wanajaribu kufanya , wakiwa kwenye kiungo maelekezo yao ni yapi ...ni kama vile wanategemea maajabu ya Bruno, Ronaldo, Rashford , Cavani au Mason lakini huoni muundo sahihi wakati wa kuanza nyuma au wasipokuwa na mpira ...wana press vipi ?? Au wakirudi nyuma bado wanaacha magap makubwa sana ...mfano hai magoli yote mawili : Ilicic alikuwa huru ( De Gea kosa lake lile angeweza ku save ) na goli la Zapata ...achana na Zapata angalia aliyepiga pasi alikuwa huru kabisa hakuna presha kwenye mpira . NOTE 1: Gian Piero Gasperin atakuwa ana huzuni sana kwasababu timu yake ilikuwa bora uwanjani lakini walishindwa kutoa adhabu 2: Mpambano mzuri sana baina ya Zapata na Bailly . 🔥🔥🔥 wote walikuwa katika ubora mzuri sana leo 3: Harry Maguire ni Pauni Milioni 80 ??? Kweli ? Shaw naye tangu baada ya Euro 2020 ...chini ya kiwango 4: BRUNO NA CR7 wana ajenda yao ya siri ya kulinda kibarua cha OLE SOLSKJAER si bure aiseeee . Timu inaweza isicheze vizuri lakini wao wakafanya jambo @dstvtanzania @winprincesstz
8,657
226
𝐓𝐀𝐓𝐔 𝐊𝐀𝐏𝐔𝐍𝐈 ...! ✍Mechi nyingine , pointi tatu zingine na wanaendelea kubaki kileleni mwa msimamo kabla ya mapumziko ya mechi za kimataifa ✍Ruvu Shooting walianza mechi vizuri , uthubutu wa kufanya pressing kwa 4-1-4-1 wakitumia mshambuliaji mmoja mbele kuweka presha kwa Job na Bakari huku wanne nyuma yake wakisubiri pasi ifike katikati ya uwanja waanze kuweka presha kwenye mpira ..maana yake waliwalazimisha Yanga kucheza zaidi nyuma au kupiga mipira mirefu pembeni kwa Yacouba na Moloko hakukuwa na njia katikati ✍Kitu ambacho Yanga walisinzia dakika 15 za kwanza walikuwa wanachelewa kuweka presha kwenye mpira pale Ruvu wakiwa na mpira ..walipata onyo mara ya kwanza Diarra alifanya save ikawa kona , baadae wakafungwa kwasababu wakati Shabani yupo na mpira wachezaji wa Yanga walikabia macho, hakukuwa na presha kwenye mpira ..shuti kumbabatiza Kibwana..kambani . Hata baada ya goli Ruvu bado walikuwa wanapasiana kwa uhuru , kwasababu walizawadiwa space kubwa ya kufanya hivyo ✍Baada ya kadi nyekundu ...mambo yalibadilika , Yanga walitumia faida ya kuwa na mchezaji mmoja zaidi ( spare man ) ikawalazimu Ruvu kushuka chini , hapo Bangala alikuwa huru sana na kuanza kupiga pasi za mbele zaidi huku Mukoko akiwa tayari kupora tena mpira pale Yanga wakipoteza ...kazi ngumu kucheza ukiwa pungufu . ✍Kipindi cha pili ilikuwa mechi ya Ushambuliaji Vs Ulinzi ....Ruvu ilibidi wazuie zaidi na Yanga washambulie zaidi ...ikabaki nani anaweza kuwa mfanisi katika jukumu lake , na Yanga walisogeza wachezaji wengi mbele , pasi haraka haraka na waliokuwa wanakimbia bila mpira waliwavuruga sana Ruvu ( Runners ) hasa Djuma na Bryson NOTE 1: Zuberi Dabi kwangu mimi alitakiwa kufanya " tactical foul " kwa Mayele kabla ya Santos kufanya faulo ...kanuni ni kanuni ukiwa wa mwisho vile ukiukosa mpira upo matatizoni . Red Card 2: Kwangu mimi haikustahili kuwa penati ...mwamuzi kuonesha ishara ya mpira kushikwa na Sonso ndio ilinishtua...labda angeonesha ishara ya Sonso kumchezea faulo Mayele kwa kumshika . 3: Fei Toto ...what a strike . Hakuna namna ambayo Makaka ange save ile 4: Makaka anazidi kuwa kipa mzuri 5: Beki wa kulia wa Ruvu 🔥🔥 Nathaniel
5,335
120
* Hak Cipta: Pencipta konten adalah pemilik hak cipta default. Informasi ini termasuk gambar, teks, video, postingan, dan profil yang diterbitkan di domain publik dan media sosial yang sesuai untuk ditampilkan publik.
Domande frequenti: Statistiche e approfondimenti di Instagram per @georgeambangile
Come posso accedere alle statistiche e all'analisi di Instagram per @georgeambangile?
StarNgage offre report analitici completi che forniscono metriche chiave e approfondimenti per darti un'e comprensione completa di @georgeambangile. Puoi esplorare vari aspetti, inclusa la statistica dei follower di Instagram, come l'andamento della crescita dei follower e dei post, il tasso di coinvolgimento e l'andamento della crescita. Inoltre, puoi accedere alle informazioni sul numero medio di like e commenti per post, approfondimenti sulla demografia dei tuoi follower o del tuo pubblico, dati di affinità di marca, menzioni di hashtag rilevanti, account simili e i post più recenti.
Qual è il conteggio attuale dei follower per @georgeambangile su Instagram?
All'ultimo aggiornamento, @georgeambangile ha accumulato un seguito fedele di 845,940 follower su Instagram.
Quali approfondimenti e analisi sono inclusi nel rapporto completo per @georgeambangile su Instagram?
Il nostro rapporto analitico completo di Instagram fornisce una panoramica completa di @georgeambangile su Instagram. Questo rapporto include informazioni dettagliate sulla crescita dei follower nel tempo, le metriche di coinvolgimento e la frequenza dei post, sia settimanali che mensili. Per accedere a questo rapporto approfondito, registrati e crea un nuovo account StarNgage o accedi al tuo account esistente.
Posso tracciare come è evoluto il tasso di coinvolgimento di @georgeambangile su Instagram?
Sì, gli strumenti di analisi di StarNgage ti consentono di monitorare l'evoluzione del tasso di coinvolgimento di @georgeambangile nel tempo su Instagram. Questi dati ti aiutano a valutare l'efficacia delle strategie di coinvolgimento di @georgeambangile.
Come posso capire la demografia del pubblico di @georgeambangile su Instagram?
Conoscere la demografia dei follower di @georgeambangile su Instagram può essere estremamente prezioso. Ti consente di adattare i tuoi contenuti influencer e le tue strategie di marketing per farli risuonare meglio con i follower di @georgeambangile, avendo informazioni sulla loro età, genere, posizione e interessi.
Come posso sfruttare i dati sull'affinità di marca per migliorare la mia strategia di marketing su Instagram con @georgeambangile?
I dati sull'affinità di marca sono uno strumento potente per capire quali marchi o prodotti interessano di più al tuo pubblico. Queste informazioni possono guidare le tue collaborazioni e partnership sui contenuti su Instagram, migliorando il coinvolgimento con il tuo pubblico di riferimento.