Simulizinasauti's Instagram Audience Analytics and Demographics

@simulizinasauti

Tanzania

Under Lerock Media Group | Sparking Conversation! | DM kwa matangazo / Email
fre▓▓▓▓▓@gmail.com
Tanzania
25–34

Business Category

Publishers

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF SIMULIZINASAUTI

45.0% of simulizinasauti's followers are female and 55.0% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.08%. The average number of likes per post is 758 and the average number of comments is 8.

Simulizinasauti loves posting about Education, Life and Society, News, Singer.

Check simulizinasauti's audience demography. This analytics report shows simulizinasauti's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
1,019,437
Avg Likes
758
Avg Comments
8
Posts
20,286

GENDER OF ENGAGERS FOR SIMULIZINASAUTI

Female
45.0 %
Male
55.0 %

AUDIENCE INTERESTS OF SIMULIZINASAUTI

  • Music 89.66 %
  • Entertainment 70.13 %
  • Business & Careers 46.02 %
  • Children & Family 42.41 %
  • Art & Design 38.43 %
  • Cars & Motorbikes 32.74 %
  • Beauty & Fashion 32.73 %
  • Sports 32.52 %
  • Movies and TV 31.36 %
  • Clothes, Shoes, Handbags & Accessories 30.90 %
  • Luxury Goods 30.88 %

MENTIONED HASHTAGS OF SIMULIZINASAUTI

RECENT POSTS

90 1

Karibu tuifikikishe biashara yako kwenye familia ya #SnS

528 2

Baba wa kambo wa the Late @2pac, mzee Mutulu Shakur ameripotiwa kuaga dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu Saratani ya damu isiyo ya kawaida na isiyoweza kutibika. Kifo cha Shakur kimetangazwa kuptia Twitter na mwanaharakati, Kamau Franklin leo Ijumaa (Julai 7), ambaye amefichua kuwa alifariki Alhamisi usiku (Julai 6). Akiwa na umri wa miaka 72. "Mutulu Shakur aliaga dunia jana usiku. Mwanaharakati mpya wa Kiafrika, Mwanachama wa Jeshi la Ukombozi wa Weusi, baba wa kambo wa Tupac Shakur. Alikaa miaka 36 gerezani kama mfungwa wa kisiasa/mfungwa wa vita. Inuka kwa Nguvu. Wote waachiliwe huru." - Tweet imesomeka hivyo. Mwanahabari mkongwe wa Hip Hop na mwandishi wa Marekani, Dream Hampton ambaye aliangazia maisha na kazi ya 2Pac kwa mapana, pia ametoa heshima za mwisho kwa Shakur kwenye Twitter kufuatia kifo chake. Na @ergonelly

700 8

Klabu ya Ajax imeripoti kwamba kipa wa zamani wa Manchester United Edwin van der Sar amepata tatizo la kuvuja damu kwenye ubongo na yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi nchini Croatia. Kipa huyo aliyewai kuitumikia klabu ya Ajax na Uholanzi Baada ya kustaafu, alirejea Ajax ambapo alihudumu kama mtendaji mkuu tangu mwaka 2016. "Siku ya Ijumaa, Edwin van der Sar amepatwa na tatizo la kuvuja damu kwenye ubongo wake. Kwa sasa yuko hospitalini katika chumba cha wagonjwa mahututi na yuko katika hali nzuri". Umeripoti mtandao wa Twitter wa Ajax. Kipa huyo wa zamani wa Manchester United aliitumikia kwa miaka saba katika nafasi hiyo, tangu kuteuliwa kwake mwaka 2016, kabla ya kuamua kuondoka klabuni hapo siku ya Jumanne asubuhi. Uamuzi huo ulikuja muda mfupi baada ya kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu nchini Uholanzi (Eredivisie), ambapo Ajax ilimaliza kwa pointi 13 nyuma ya washindi wa ligi Feyenoord. Na @Kubebekajr

1,508 27

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu ya @simbasctanzania, @ahmedally_ ameandika; "Simba Sports Club imepanda viwango vya ubora wa CAF kutoka nafasi ya 9 hadi nafasi ya 7. Hii maana yake ni kuwa msimu ujao katika draw ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika, Simba tutawekwa kwenye Port 2 ambayo inahusisha timu kuanzia nafasi ya tano mpaka ya nane". "Port A itakuwa na Al Ahly, Mamelod Wydad na Esparance". "Port 2 ndio tutakua Simba na wakubwa wenzetu watatu. Brand yetu inazidi kupaaa na malengo yetu ni kuingia kwenye Port ya kwanza siku chache zijazo". Orodha iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inaonesha hivi; 1.Al Ahly - Alama 1,491. 2.Wydad AC - Alama 1,201. 3.Esperance de Tunis - Alama 1,066. 4.Mamelodi Sundowns FC - Alama 978. 5.Raja AC - Alama 833. 6.Zamalek SC - Alama 819. 7.Simba SC - Alama 611. 8.Pyramids FC - Alama 607. 9.TP Mazembe - Alama 599. 10.RS Berkane - Alama 583. Na @ergonelly

387 1

Rapper wa Marekani mwenye asili ya Morocco, @frenchmontana ametoa shukrani zake za dhati kwa Davido kutokana na ukarimu aliotendewa na msanii huyo wakati akiwa nchini Nigeria. Montana alimshukuru bosi huyo wa DMW kupitia video alizo-share insta story kwa kusema kuwa @davido aliifanya safari yake nchini humo kuwa nzuri licha ya kutokuwepo karibu. Kwani Davido alikuwa kwenye Afro Nation Festival huko Ureno. Inaelezwa Davido alitoa Magari yake ya Kifahari pamoja na Ulinzi wa maana kwa bwana Karim Kharbouch wakati wa ziara yake nchini humo. Na @ergonelly

892 2

Manchester United wamemsaini mkuu wa huduma za matibabu wa Arsenal Gary O'Driscoll kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa 2023-24. Daktari huyo alijiunga na Arsenal mwaka 2009 na amekuwa mtu muhimu akiwa na mchango mkubwa ndani ya klabu hiyo ya kaskazini mwa London. O'Driscoll, mwenye miaka 52 alikuwa kwenye hatihati ya kujiunga na Liverpool mnamo 2020 kabla ya kuamua kusalia Arsenal. Gary pia alizipiga chini ofa nyingi sana hata hivyo, United wamefanikiwa kumchukua kutoka kwa washika mitutu wa London katika uhamisho unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa majira ya ya joto. Moja ya sababu iliyomshawishi O'Driscoll kukubali fursa ya kujiunga na United ni kuwa uhamisho huo utamfanya kuwa karibu na familia yake. O'Driscoll anamfuata kocha msaidizi Steve Round ambae pia ameachana na Arsenal msimu uliomalizika, na hivi sasa Arsenal wako mbioni kutafuta mbadala wa nafasi hizo muhimu zilizoachwa kabla ya kuanza kwa msimu mpya. Na @Kubebekajr

1,052 9

Kiungo wa zamani wa Ujerumani Bastian Schweinsteiger amesema kwamba, Pep Guardiola anahusika kwenye anguko la timu ya taifa ya Ujerumani, akizungumza na talkSPORT Schweinsteiger alidai kwamba Ujerumani imepoteza asili yake kwa sababu ya kocha huyo wa Uhispania. "Pep Guardiola alipojiunga na Bayern Munich, alipokuja nchini, kila mtu aliamini tunapaswa kucheza soka la aina ya pasi fupi fupi. "Tulikuwa tunapoteza asili yetu," Schweinsteiger aliiambia talkSPORT siku ya Alhamisi. Schweinsteiger, ambaye anafanya kazi kama mchambuzi wa Televisheni, alicheza chini ya Guardiola kwa misimu miwili ndani ya klabu ya Bayern aliongeza kuwa. "Nadhani mataifa mengi yaliitazama Ujerumani kama taifa la wapiganaji, tukiweza kupambana kwa kasi mpaka dakika ya mwisho. "Miaka ya hivi karibuni nguvu na kasi imepungua maradufu. Tulijisahau kabisa na kila mmoja alizingatia zaidi kucheza mpira kwa uzuri na taratibu." Aliongeza Schweisteiger. Ujerumani ilitolewa katika hatua ya makundi katika Kombe la Dunia mwaka 2018, na kuishia raundi ya pili ya Euro 2020, pia kutolewa katika hatua ya makundi tena katika Kombe la Dunia mwaka jana. Mwezi uliopita mashabiki waliizomea timu yao ya Taifa baada ya kupoteza nyumbani dhidi ya Colombia, na Ujerumani wanatarajiwa kuandaa michuono ya Euro kwa mwaka 2024 huku hali ya kujiamini ikipungua maradufu. Na @Kubebekajr

133 1

Mwimbaji @lonybway ali-chill na @creez_favors na kuzungumza ya mambo mbalimbali kuhusu hustle za muziki na maisha kwa ujumla, pia amegusia waliyoyapitia na @chino_kidd7 kabla ya kuingia kwenye muziki. Interview nzima ipo YouTube #SimuliziNaSauti

226 4

Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Mama wa The Platnumz Voice, @diamondplatnumz ambapo katika kumtakia kheri Bi. Sandrah (@mama_dangote), Diamond ameandika ujumbe ambao unaelezea mapito ya maisha yake na Mama yake huyo kipindi cha kutafuta riziki. "Nakumbuka mwaka mmoja wakati unafanya kazi ya Saloon Kariakoo, tukiwa tunarudi usiku majira kama ya saa sita hivi kwenye Daladala nikakwambia. Usijali Mama kuna siku nitatoboa kwenye muziki na nitakufungulia na wewe Saloon yako". "Vyote naweza visahau lakini maneno haya siwezi yasahau, kwasababu nilikuambia kwa uchungu nilipokuona unanitazama kwa huruma na uchungu, kwa jinsi nilivyokua nahangaika na maumivu ya kiti cha moto kwenye Daladala ya Hiace". "Nakupenda na nakuheshimu sana, na siku zote ujue kwamba wewe ndio sababu ya mimi kupambana usiku na mchana ili kuhakikisha unapata furaha ambayo uliikosa kwa muda mrefu". Na @ergonelly

2,597 18

King wa Bongo Fleva, @officialalikiba ajiachia @threadsapp na watoto wake wawili aliowapata na mkewe Amina Khalef wa Kenya. Picha ya Kiba akiwa na Keyaan na Kamran Kiba imekuwa post ya kwanza kwa staa huyo ambaye amejiunga kwenye mtandao huo wenye mamilioni ya watumiaji. Ndoa ya King Kiba na Bi. Amina (@aileenalora) ilifungwa mwezi Aprili, 2018 na kubahatika kupata watoto hao wawili. Na @ergonelly

1,909 21

Mrembo huyu huingiza zaidi ya shilingi milioni 36 kila siku kwa live zake zinamuonesha akiwa amelala usingizi

239 0

Uchungu wa mwana aujuaye mzazi!... Ni kwa nini Mkojani asingiziwe kifo? Fuatilia vichekesho vya Orijino Komedy ndani ya Maisha Magic Poa, 144 Jumapili saa 3:00 usiku ndani ya @dstvtanzania pekee. Piga *150*53# kulipia kifurushi chako cha Poa sh 10,000 tu usipitwe na vichekesho hivi. #vichekeshonidstv #unakosaje

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

30K
-
0.17 %
Tanzania Education
30.5K
400 / post
0.42 %
Tanzania Photography, Business and Finance, Celebrity, Modeling, Portraits
28.3K
-
0.74 %
Tanzania Entertainment and Music, Celebrity
29.3K
-
0.24 %
Tanzania Entertainment and Music, Singer
14.6K
-
-
Tanzania Shopping, Singer
5.1K
-
0.41 %
Tanzania Home and Garden
47.1K
-
0.01 %
Tanzania Product Showcase, Home and Garden, Food, Singer
34.9K
-
0.11 %
Tanzania Product Education, Marketing and Advertising, Singer
2.3K
-
1.80 %
Tanzania Arts and Crafts
128.9K
-
0.42 %
Tanzania Auto and Vehicles
36.8K
444 / post
2.20 %
Tanzania Travel, Nature & Outdoors
1.1K
-
0.70 %
Tanzania Food, Product Showcase, Food and Drink, Home and Garden
3.5K
11 / post
0.09 %
Tanzania Education, Parenting, Humor, Animals & Pets, Celebrities, Cooking
4.3K
-
0.38 %
Tanzania Arts and Crafts
2K
-
0.49 %
Tanzania Product Education, Product Showcase, Business and Finance