Matejasports's Instagram Audience Analytics and Demographics
@matejasports
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF MATEJASPORTS
14.8% of matejasports's followers are female and 85.2% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.08%. The average number of likes per post is 24 and the average number of comments is 4.
Matejasports loves posting about Fashion, Gym, Modeling.
Check matejasports's audience demography. This analytics report shows matejasports's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR MATEJASPORTS
AUDIENCE INTERESTS OF MATEJASPORTS
- Entertainment 79.68 %
- Music 73.73 %
- Children & Family 53.25 %
- Beauty & Fashion 47.06 %
- Business & Careers 46.80 %
- Fitness & Yoga 42.48 %
- Books and Literature 40.00 %
- Movies and TV 35.37 %
- Sports 33.89 %
- Luxury Goods 33.28 %
- Cars & Motorbikes 32.90 %
- Art & Design 32.29 %
MENTIONED HASHTAGS OF MATEJASPORTS
RECENT POSTS
Aziz Ki akiwa katikati ya Totozi
Fundika kama fundi
KARIBU 24CCβ¦ #πΊπΈ Kwa wapenzi wa Movie & Tv Shows karibu @24city_cinema #Movies na #TVShows mpya kila siku zenye quality ya HD. DELIVERYπ² IPO β€οΈβπ₯ (offers β ππ½)
JE, UNAJUA NINI KUHUSU LIGI YA MWAKA HUU? KAMA hujui basi nakujuza kuwa, ligi ya msimu huu, inamaana katika *one against one* Simba na Yanga wakikutana Simba anakua Bingwa au Yanga kiulaini sana. Inamaana kwamba ili Simba au Yanga asitangazeubingwa kwa Kwa mwenzak basi Yanga au Simba aombe afungwe na Azam ili apishe hapo juu . Halafu katika one against one hata kama. Simba au Yanga akimfunga Simba basi Ubingwa unakua tayari Kwa maana hiyo basi hii haitamuuma sana atakayekosa ubingwa kati yao kwani kila mmoja atakauwa ameshausoma mwenendo wa ligi. AU WE MCHAMBUZI MWENZANGU UNAUONAJE MSIMAMO HUU?
JUMAMOSI hii kwenye Kipindi cha Xpress Africa tutakuwa na MANENGUAJI NASRA KOREA Kumbuka tutakuwa mubashara kupitia Global Tv na Global Radio kuanzia saa 8:00 Mchana hadi saa 11:00 jioni. Pakua App ya 255 Global Radio Google Playstore au App Store.
MNYAMA dimbani Leo π₯ Simba katika presha kubwa kutoka kwa wapinzani wawili wa mbio za ubingwa, Yanga na Azam FC zilizopo juu yake na namna pekee ya kukabiliana nao ni kupata ushindi ili isiwape faida ya kuongeza pengo la pointi. Azam FC itaikaribisha Singida. Ni mechi ya kusaka nani zaidi kati yao.
Jiunge kwenye safari ya mikoa 4 kuwasaka mabingwa wapya wa soka na kuwaleta katika jukwaa kubwa na la kitaifa. Kama una kipaji, nia na nidhamu ya soka, chukua tarehe ya mkoa wako na utusubiri tunakuja. Karibuni kwa winga katika safari ya mabingwa wapya wa soka #SafariLagerCup2023 #MabingwaWapyaWaSoka #NewOrderOfChampions @Safarilager_tanzania
FT: YANGA 1-0 NAMUNGO FC Ukiangalia KITAALAMU zaidi mechi ya leo je, unadhani ni eneo lipi Namungo walifanikiwa zaidi kuwazuia Yanga? Au tuseme leo Aziz Ki kawa mchoyo kiasi cha kuwanyima mabao matano WANANCHI?
WANANCHI HIZI NYONGA ZINAITWAJE KITAALAMU?
MANENO SAFI YA MDAU WASIBA Kipa wa *Mpira*, huyu ndo Kipa wetu Simba, Kipa wa Boli, anajua, yupo vzr, huyu ni sehemu ya *Makipa* wetu Simba official. Tunasimama nae Tunaamka nae Kipa Genius, Kipa aliekamilika idara zote. *Vinyangarakata* hamtuzii kumpenda, kumkubali Kipa wetu. *Vinyangarakata* mngeskilizwa maneno yenu *nchi* isingeenda AFCON. Vinyangarakata hamjaitwa mkiitwa mtaambiwa. Kipa la Boli wa *Simba* JE, KWAKO WEWE HII IMEKAAJE?
HT: POWER DYNAMOS 1-0 SIMBA Je, unaiona Simba ikipindua meza kipindi cha pili?
Avg Comments