Killer_platnumz's Instagram Audience Analytics and Demographics

@killer_platnumz

Tanzania

Kβ–ͺP πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Proudly Muslim πŸ•Œ A Boy From Tanga | Business Man πŸ‘¨β€πŸ’» C.E.O @kp_curtains @kp_mosquito_net @kp_blinds_office_curtains
Tanzania

Business Category

Content & Apps

Get Our Influencer Rate Card Today!

A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.

Learn More

PROFILE OVERVIEW OF KILLER_PLATNUMZ

Average engagement rate on the posts is around 0.05%. The average number of likes per post is 83 and the average number of comments is 5.

Check killer_platnumz's audience demography. This analytics report shows killer_platnumz's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.

Followers
269,327
Avg Likes
83
Avg Comments
5
Posts
927

GENDER OF ENGAGERS FOR KILLER_PLATNUMZ

Female
0 %
Male
0 %

MENTIONED HASHTAGS OF KILLER_PLATNUMZ

RECENT POSTS

89 3

Watu wanasema Uislamu ni mgumu! Uislamu unasema: πŸ“β€’ Kutabasamu ni Sunnah. πŸ“β€’ Kufanya tendo la ndoa na mke au mume wako unapata thawabu. πŸ“β€’ Kuwatazama wazazi kwa kuwajali na upendo unapata thawabu. πŸ“β€’ Kuweka tonge mdomoni mwa mke kuna thawabu. πŸ“β€’ Kutoa sadaka japo tende moja ni thawabu. πŸ“β€’ Kuondoa kijiwe kidogo njiani ni thawabu. πŸ“β€’ Kutoa salaam kwa mtu (kusalimia) kuna thawabu. πŸ“ β€’ Kuacha jambo baya kufanya (kwa kumcha Mwenyezi Mungu) kuna thawabu. πŸ“ β€’ Kuwa na nia ya kufanya jambo zuri (hata kama hukulifanyia kazi kwa sababu yoyote) kuna thawabu. πŸ“β€’Kuwa na subira katika magumu na changamoto kuna thawabu. πŸ“β€’ Kufanya adhkaar kwa neno moja mfano;Allah Akbar kuna thawabu. πŸ“β€’ Kumfurahisha mtu unapata thawabu. πŸ“β€’Kumswalia Mtume Muhammad ο·Ί kuna thawabu. πŸ“β€’Kumcha Allah kwa kufuata maamrisho na kuacha makatazo yake kuna thawabu. πŸ“β€’Kuwa mwema kwa jirani yako unapata thawabu. πŸ“β€’ Kumpenda mtu kw ajili ya Allah kuna thawabu na kumchukia kwaajili ya Allah kuna thawabu. πŸ“β€’ Kumtembelea mgonjwa kuna thawabu πŸ“β€’ Kutoa Dawah (kulingania dini) kuna thawabu. πŸ“β€’ Kuficha (aibu) makosa ya mtu kuna thawabu, Allahu Akbar! Na kuna mengi zaidi ❀ #KillerMe

103 1

Mwanzo wa Swala utasoma dua ya ufunguzi ambayo ni Ψ³ΩΨ¨Ω’Ω€Ψ­Ψ§Ω†ΩŽΩƒΩŽ Ψ§Ω„Ω„Ω‘Ω‡ΩΩ€Ω…Ω‘ΩŽ ΩˆΩŽΨ¨ΩΨ­ΩŽΩ…Ω’Ω€Ψ―ΩΩƒΩŽ وَΨͺΩŽΨ¨Ψ§Ψ±ΩŽΩƒΩŽ Ψ§Ψ³Ω’Ω…ΩΩ€ΩƒΩŽ وَΨͺΩŽΨΉΩ€Ψ§Ω„Ω‰ Ψ¬ΩŽΩ€Ψ―Ω‘ΩΩƒΩŽ ΩˆΩŽΩ„Ψ§ Ψ₯ΩΩ„Ω‡ΩŽ ΨΊΩŽΩŠΩ’Ψ±ΩΩƒ "Sub-haanakallaahumma Wabihamdik, Watabaarakasmuk, Wataalaa jadduk, Walaa ilaaha ghairuk". Dua ukiwa katika Rukuu utasema Ψ³ΩΨ¨Ω’Ω€Ψ­Ψ§Ω†ΩŽ Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩΩ€ΩŠΩŽ Ψ§Ω„Ω’ΨΉΩŽΨΈΩ€ΩŠΩ… "Subhaana Rabbiyal-adhiim (mara tatu)" Ukiwa umeinuka na kusimama wima utasema Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩŽΩ†Ω€Ψ§ ΩˆΩŽΩ„ΩŽΩƒΩŽ Ψ§Ω„Ψ­ΩŽΩ…Ω’Ω€Ψ―Ω "Rabbanaa walakal-hamdu" Au Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩŽΩ†Ω€Ψ§ ΩˆΩŽΩ„ΩŽΩƒΩŽ Ψ§Ω„Ψ­ΩŽΩ…Ω’Ω€Ψ―Ω Ψ­ΩŽΩ…Ω’Ω€Ψ―Ψ§Ω‹ ΩƒΩŽΨ«Ω€ΩŠΨ±Ψ§Ω‹ Ψ·ΩŽΩŠΩ‘ΩΩ€Ψ¨Ψ§Ω‹ Ω…ΩΩ€Ψ¨Ψ§Ψ±ΩŽΩƒΨ§Ω‹ ΩΩŠΩ‡ "Rabbanaa walοΏ½akal hamdu. Hamdan kathiοΏ½ran tayyiban mubaarakan fiihi. (Mara moja)" Ukiwa katika Sujudu utasema Ψ³ΩΨ¨Ω’Ω€Ψ­Ψ§Ω†ΩŽ Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘ΩΩ€ΩŠΩŽ Ψ§Ω„Ψ£ΩŽΨΉΩ’Ω„Ω€Ω‰ "Sub-haana Rabbiyal-aalaa (Mara tatu)" Ukitoka katika Sujudu na kukaa kitako utasema Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘Ω اغْفِـرْ Ω„ΩŠΨŒ Ψ±ΩŽΨ¨Ω‘Ω اغْفِـرْ Ω„ΩŠ Rabbighfir-liy, Rabbighfir-liy #KillerMe

161 1

Abu Bakr alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kuitikia wito wa Mtume ο·Ί kwa Uislamu. Zilipomfikia Abu Bakr habari za ufunuo wa kwanza wa Mtume ο·Ί. Moyo wa Abu Bakr ulichangamka kutokana na taarifa hii, na baada ya kusikia maelezo yake kamili, alithibitisha kwa maneno kile alichokuwa akikishuku muda wote. Alitangaza kwamba β€œKama [Muhammad aliona] kweli alisema hivyo, basi, amesema ukweli.” Bila kupoteza muda, Abu Bakr alikimbilia kwenye nyumba ya Mtume ο·Ί na alipoingia akauliza kama habari zilizomfikia kutoka kwa watu zilikuwa za kweli. β€˜Wanasema kwamba Mwenyezi Mungu amekutuma kwetu (ili utuamrishe) tumwabudu Yeye Peke Yake, wala tusimshirikishe na chochote”. Mtume Muhammad ο·Ί akasema: Uliwajibu nini ewe Atiq?’ Akasema, β€˜Nikasema: Ikiwa amesema hivyo, basi amesema kweli’. macho ya Mtume wa Mwenyezi Mungu yalibubujikwa na machozi. Alimkumbatia Abu Bakr na kumbusu paji la uso wake. Kisha akamsimulia jinsi wahyi ulivyomjia akiwa katika pango la Hira. Abu Bakr alisikiliza maneno ya kwanza ya ufunuo huo β€œSoma, kwa jina la Mola aliyemuumba mwanadamu kwa pande la damu….” aliinamisha kichwa chake kwa kunyenyekea. Kisha akainua kichwa chake, na kwa mikono yake miwili, akaushika mkono wa kulia wa Mtume wa Mwenyezi Mungu akisema: β€œNashuhudia kwamba wewe ni mkweli. Nashuhudia ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu na ninashuhudia kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu”. _______ Soma Visa zaidi kupitia kitabu cha MUHTASARI unachotumiwa kwa WhatsApp Document, Gusa Link hapa instagram katika eneo la Profile kuwasiliana Nasi

33 1

Mtego wa furaha ya maisha, upo kwenye kuridhika. Katika maisha kutakuepo na watu waliokuzidi Pesa, Elimu, Cheo, Mafanikio na hata Mali, Ukitaka mashindano na walimwengu, kamwe hautokua na furaha sababu waliokuzidi hawataisha. Ridhika na ulichonacho na maisha yatakua rahisi sana kwako Alhmdulillah

33 0

Imani. Sheikh Hussein Yee _ #imani #moyo #mafundisho #ukumbusho #tvimaan #elimubilamipaka #KillerMe

187 2

JE UNAYAJUA MAMBO MATANO MEPESI YA DINI? 1-UNAJUA KWAMBA INAPOSOMWA adhana na wewe ukawa "(unaya) Rudia maneno ya Muadhin na ukimaliza, muombe Mwenyezi Mungu kile unachotaka na utakipata" (Abu Dawud, Kitabu cha Swala, Hadithi 524) 2-JE UNAJUA WAPI YANAWEKWA madhambi yako unapokua katika swala? Huwekwa juu ya kichwa chako. Imepokelewa hadithi kwamba amesimulia Mtume ο·Ί anaposimama mja kuswali huwekwa dhambi zake juu ya kichwa chake na mabega yake basi kila anaporukuu na kusujudu hupukutika dhambi zile kiasi cha rukuu yake na sijda yake. 3- JE UNAFAHAMU KWAMBA KUSOMA AYA MBILI ZA MWISHOZA AL BAQARAH ZINAKUTOSHA USIKU MZIMA Imepokewa na Ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu β€˜anhu), alimsikia Mtume akisema: "Mwenye kuzisoma Aya mbili mwishoni mwa Suuratul-Baqarah usiku, zitamtosha." (Bukhary 5009, Muslim 808) 4-JE UNAJUA KUWA KUSOMA AYATUL KURSIY kabla ya kulala unapata ULINZI Mtume Muhammad ο·Ί amesema: β€œIwapo mtu atasoma Ayatul Kursi kabla ya kulala, Mwenyezi Mungu atamtuma Malaika kuja kukuchunga na kukulinda. 5-JE UNAJUA UNAPOMALIZA KUSWALI usifanye haraka kuondoka kwani malaika huendelea kukuombea dua mtu anayekaa katika mahali pake pa kuswalia mpaka atapoondoka. "Mja anapomaliza kuswali na akakaa mahali aliposwali, Malaika humuombea msamaha kama ilivyotajwa katika Hadiyth iliyopokelewa na al-Bukhaariy (445).

9 0

*JE* Umeshawah kushiriki kuitengeneza FurahaπŸ™‚ ya watoto waliokosa matumaini na kukata tamaa kwa kuondokewa na watu wa muhimu katika maisha yaoπŸ’”πŸ˜’ Hautaman kuendelea kuwa faraja kwa watoto hao au kufanya kwa mara ya kwanza na kuona ni kwa kias gan mungu huwa anajibu kwa wepesi kupitia sadaka hiziπŸ™ Bas π™π„ππˆπ„ πŽπ‘ππ‡π€ππ’ π’π”πππŽπ‘π“ anakuletea charity kubwa sana kwa ajili ya kurudisha tabasam kwa watoto yatima na wenye uhitaj maalum, itakayofanyika katika kijiji cha πŒπ€ππ€πŒπ€ Mkoan π“π€ππŽπ‘π€ Mapema mwezi wa november(03/11/2023) *HIVYO* Tunaomba tushirikiane kwa pamoja kutoa sadaka kwa ajili ya watoto wetu,mchango wako ni muhimu sana kwetu,toa kwa ajili ya nafsi yako na kwa ajili ya mola wakoπŸ™πŸ» ππ€πŒππ€ π˜π€ πŠπ”π“π”πŒπ€ πŒπ‚π‡π€ππ†πŽ 𝐍𝐈 0620 277 856 (π™π€πŠπˆπ€ πŠπˆπ‹π”π†π–π„) Pia unaweza kutuma msaada unaobebeka kama nguo,chakula,viatu,madaftari, kalamu n.kπŸžπŸ‘–πŸ‘• #𝐒𝐀𝐕𝐄 𝐓𝐇𝐄 𝐃𝐀𝐓𝐄 !!!!!!!!!!!!!!!!!!

98 14

Nyumbani Onetime πŸ˜‡πŸ‘

332 29

Baba Mpalestina akiwa katika uchungu anapoutoa mwili wa bintiye kutoka kwenye kifusi. Nyumba hiyo ilishambuliwa kwa bomu na wanajeshi wa Israel. Leo ilikuwa siku ya umwagaji damu sana kwani makumi ya raia wasio na hatia, wengi wao wakiwa wanawake na watoto wameuawa

10 0

Badilisha Muonekano Wa Madirisha Yako Ya Toilet,Jikoni, Chumbani Na Hata Offisin Pia Na Pazia Nzuri Yakisasa Aina Ya ZEBRA BLINDS Kutoka @kp_blinds_office_curtains Kila Square mita Moja Ni Tsh. 80,000 Piga Simu Mafundi waje kupima Maana Hizi Zinauzwa Kulingana Na Kipimo.!! Call/WhatsApp #0655422328 We Change Your Home..!!

35 0

Fanya matendo mema kwa ajili ya Siku hii !!!πŸ˜” #Mauti #Kaburi #JaafarMponda

72 6

Sema Kimeumana πŸ˜…πŸ˜…

* Copyright: Content creators are the default copyright owners. These Images are published on public domains and respective social media for public viewing.

PEOPLE ALSO VIEWED

34.3K
-
0.22 %
Tanzania Home and Garden
58.3K
-
0.00 %
Tanzania Product Showcase, Health and Medical Services, Singer
28.3K
-
0.74 %
Tanzania Entertainment and Music, Celebrity
7.5K
-
1.45 %
Tanzania Education
135K
-
2.84 %
Tanzania Photography, Fashion, Modeling, Singer, Clothing, Clothing (Brand), Personal Goods & General Merchandise Stores
72.1K
-
0.18 %
Tanzania Pets, Singer
88.6K
-
0.16 %
Tanzania Beauty and Self Care, Styling
1.2K
104 / post
1.65 %
Tanzania Travel, Nature & Outdoors, Architecture
82.6K
-
0.05 %
Tanzania Fashion and Accessories, Modeling
40.7K
-
0.02 %
Tanzania Home and Garden
16.2K
174 / post
0.33 %
Tanzania Music, Singer, Celebrities, Health & Fitness, Animals & Pets
3.6K
-
13.40 %
Tanzania
33.6K
-
0.02 %
Tanzania Home and Garden, Singer
92.8K
-
0.22 %
Tanzania Product Showcase, Business and Finance
2K
71 / post
1.84 %
Tanzania Auto and Vehicles, Education, Sports, Business and Finance, Celebrities, Cars & Motorcycles, Nature & Outdoors, Humor