Killer_platnumz's Instagram Audience Analytics and Demographics
@killer_platnumz
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF KILLER_PLATNUMZ
Average engagement rate on the posts is around 0.05%. The average number of likes per post is 83 and the average number of comments is 5.
Check killer_platnumz's audience demography. This analytics report shows killer_platnumz's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR KILLER_PLATNUMZ
MENTIONED HASHTAGS OF KILLER_PLATNUMZ
- KillerMe 11
- 0655422328 4
- UaminifuNdoChetiChetu 2
- tvimaan 2
- zuwena 2
RECENT POSTS
Watu wanasema Uislamu ni mgumu! Uislamu unasema: πβ’ Kutabasamu ni Sunnah. πβ’ Kufanya tendo la ndoa na mke au mume wako unapata thawabu. πβ’ Kuwatazama wazazi kwa kuwajali na upendo unapata thawabu. πβ’ Kuweka tonge mdomoni mwa mke kuna thawabu. πβ’ Kutoa sadaka japo tende moja ni thawabu. πβ’ Kuondoa kijiwe kidogo njiani ni thawabu. πβ’ Kutoa salaam kwa mtu (kusalimia) kuna thawabu. π β’ Kuacha jambo baya kufanya (kwa kumcha Mwenyezi Mungu) kuna thawabu. π β’ Kuwa na nia ya kufanya jambo zuri (hata kama hukulifanyia kazi kwa sababu yoyote) kuna thawabu. πβ’Kuwa na subira katika magumu na changamoto kuna thawabu. πβ’ Kufanya adhkaar kwa neno moja mfano;Allah Akbar kuna thawabu. πβ’ Kumfurahisha mtu unapata thawabu. πβ’Kumswalia Mtume Muhammad ο·Ί kuna thawabu. πβ’Kumcha Allah kwa kufuata maamrisho na kuacha makatazo yake kuna thawabu. πβ’Kuwa mwema kwa jirani yako unapata thawabu. πβ’ Kumpenda mtu kw ajili ya Allah kuna thawabu na kumchukia kwaajili ya Allah kuna thawabu. πβ’ Kumtembelea mgonjwa kuna thawabu πβ’ Kutoa Dawah (kulingania dini) kuna thawabu. πβ’ Kuficha (aibu) makosa ya mtu kuna thawabu, Allahu Akbar! Na kuna mengi zaidi β€ #KillerMe
Mwanzo wa Swala utasoma dua ya ufunguzi ambayo ni Ψ³ΩΨ¨ΩΩΨΨ§ΩΩΩΩ Ψ§ΩΩΩΩΩΩΩ ΩΩ ΩΩΨ¨ΩΨΩΩ ΩΩΨ―ΩΩΩ ΩΩΨͺΩΨ¨Ψ§Ψ±ΩΩΩ Ψ§Ψ³ΩΩ ΩΩΩΩ ΩΩΨͺΩΨΉΩΨ§ΩΩ Ψ¬ΩΩΨ―ΩΩΩΩ ΩΩΩΨ§ Ψ₯ΩΩΩΩ ΨΊΩΩΩΨ±ΩΩ "Sub-haanakallaahumma Wabihamdik, Watabaarakasmuk, Wataalaa jadduk, Walaa ilaaha ghairuk". Dua ukiwa katika Rukuu utasema Ψ³ΩΨ¨ΩΩΨΨ§ΩΩ Ψ±ΩΨ¨ΩΩΩΩΩ Ψ§ΩΩΨΉΩΨΈΩΩΩ "Subhaana Rabbiyal-adhiim (mara tatu)" Ukiwa umeinuka na kusimama wima utasema Ψ±ΩΨ¨ΩΩΩΩΨ§ ΩΩΩΩΩΩ Ψ§ΩΨΩΩ ΩΩΨ―Ω "Rabbanaa walakal-hamdu" Au Ψ±ΩΨ¨ΩΩΩΩΨ§ ΩΩΩΩΩΩ Ψ§ΩΨΩΩ ΩΩΨ―Ω ΨΩΩ ΩΩΨ―Ψ§Ω ΩΩΨ«ΩΩΨ±Ψ§Ω Ψ·ΩΩΩΩΩΨ¨Ψ§Ω Ω ΩΩΨ¨Ψ§Ψ±ΩΩΨ§Ω ΩΩΩ "Rabbanaa walοΏ½akal hamdu. Hamdan kathiοΏ½ran tayyiban mubaarakan fiihi. (Mara moja)" Ukiwa katika Sujudu utasema Ψ³ΩΨ¨ΩΩΨΨ§ΩΩ Ψ±ΩΨ¨ΩΩΩΩΩ Ψ§ΩΨ£ΩΨΉΩΩΩΩ "Sub-haana Rabbiyal-aalaa (Mara tatu)" Ukitoka katika Sujudu na kukaa kitako utasema Ψ±ΩΨ¨ΩΩ Ψ§ΨΊΩΩΩΩΨ±Ω ΩΩΨ Ψ±ΩΨ¨ΩΩ Ψ§ΨΊΩΩΩΩΨ±Ω ΩΩ Rabbighfir-liy, Rabbighfir-liy #KillerMe
Abu Bakr alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kuitikia wito wa Mtume ο·Ί kwa Uislamu. Zilipomfikia Abu Bakr habari za ufunuo wa kwanza wa Mtume ο·Ί. Moyo wa Abu Bakr ulichangamka kutokana na taarifa hii, na baada ya kusikia maelezo yake kamili, alithibitisha kwa maneno kile alichokuwa akikishuku muda wote. Alitangaza kwamba βKama [Muhammad aliona] kweli alisema hivyo, basi, amesema ukweli.β Bila kupoteza muda, Abu Bakr alikimbilia kwenye nyumba ya Mtume ο·Ί na alipoingia akauliza kama habari zilizomfikia kutoka kwa watu zilikuwa za kweli. βWanasema kwamba Mwenyezi Mungu amekutuma kwetu (ili utuamrishe) tumwabudu Yeye Peke Yake, wala tusimshirikishe na chochoteβ. Mtume Muhammad ο·Ί akasema: Uliwajibu nini ewe Atiq?β Akasema, βNikasema: Ikiwa amesema hivyo, basi amesema kweliβ. macho ya Mtume wa Mwenyezi Mungu yalibubujikwa na machozi. Alimkumbatia Abu Bakr na kumbusu paji la uso wake. Kisha akamsimulia jinsi wahyi ulivyomjia akiwa katika pango la Hira. Abu Bakr alisikiliza maneno ya kwanza ya ufunuo huo βSoma, kwa jina la Mola aliyemuumba mwanadamu kwa pande la damuβ¦.β aliinamisha kichwa chake kwa kunyenyekea. Kisha akainua kichwa chake, na kwa mikono yake miwili, akaushika mkono wa kulia wa Mtume wa Mwenyezi Mungu akisema: βNashuhudia kwamba wewe ni mkweli. Nashuhudia ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu na ninashuhudia kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Munguβ. _______ Soma Visa zaidi kupitia kitabu cha MUHTASARI unachotumiwa kwa WhatsApp Document, Gusa Link hapa instagram katika eneo la Profile kuwasiliana Nasi
Mtego wa furaha ya maisha, upo kwenye kuridhika. Katika maisha kutakuepo na watu waliokuzidi Pesa, Elimu, Cheo, Mafanikio na hata Mali, Ukitaka mashindano na walimwengu, kamwe hautokua na furaha sababu waliokuzidi hawataisha. Ridhika na ulichonacho na maisha yatakua rahisi sana kwako Alhmdulillah
Imani. Sheikh Hussein Yee _ #imani #moyo #mafundisho #ukumbusho #tvimaan #elimubilamipaka #KillerMe
JE UNAYAJUA MAMBO MATANO MEPESI YA DINI? 1-UNAJUA KWAMBA INAPOSOMWA adhana na wewe ukawa "(unaya) Rudia maneno ya Muadhin na ukimaliza, muombe Mwenyezi Mungu kile unachotaka na utakipata" (Abu Dawud, Kitabu cha Swala, Hadithi 524) 2-JE UNAJUA WAPI YANAWEKWA madhambi yako unapokua katika swala? Huwekwa juu ya kichwa chako. Imepokelewa hadithi kwamba amesimulia Mtume ο·Ί anaposimama mja kuswali huwekwa dhambi zake juu ya kichwa chake na mabega yake basi kila anaporukuu na kusujudu hupukutika dhambi zile kiasi cha rukuu yake na sijda yake. 3- JE UNAFAHAMU KWAMBA KUSOMA AYA MBILI ZA MWISHOZA AL BAQARAH ZINAKUTOSHA USIKU MZIMA Imepokewa na Ibn Masβuud (Radhiya Allaahu βanhu), alimsikia Mtume akisema: "Mwenye kuzisoma Aya mbili mwishoni mwa Suuratul-Baqarah usiku, zitamtosha." (Bukhary 5009, Muslim 808) 4-JE UNAJUA KUWA KUSOMA AYATUL KURSIY kabla ya kulala unapata ULINZI Mtume Muhammad ο·Ί amesema: βIwapo mtu atasoma Ayatul Kursi kabla ya kulala, Mwenyezi Mungu atamtuma Malaika kuja kukuchunga na kukulinda. 5-JE UNAJUA UNAPOMALIZA KUSWALI usifanye haraka kuondoka kwani malaika huendelea kukuombea dua mtu anayekaa katika mahali pake pa kuswalia mpaka atapoondoka. "Mja anapomaliza kuswali na akakaa mahali aliposwali, Malaika humuombea msamaha kama ilivyotajwa katika Hadiyth iliyopokelewa na al-Bukhaariy (445).
*JE* Umeshawah kushiriki kuitengeneza Furahaπ ya watoto waliokosa matumaini na kukata tamaa kwa kuondokewa na watu wa muhimu katika maisha yaoππ’ Hautaman kuendelea kuwa faraja kwa watoto hao au kufanya kwa mara ya kwanza na kuona ni kwa kias gan mungu huwa anajibu kwa wepesi kupitia sadaka hiziπ Bas πππππ πππππππ πππππππ anakuletea charity kubwa sana kwa ajili ya kurudisha tabasam kwa watoto yatima na wenye uhitaj maalum, itakayofanyika katika kijiji cha ππππππ Mkoan ππππππ Mapema mwezi wa november(03/11/2023) *HIVYO* Tunaomba tushirikiane kwa pamoja kutoa sadaka kwa ajili ya watoto wetu,mchango wako ni muhimu sana kwetu,toa kwa ajili ya nafsi yako na kwa ajili ya mola wakoππ» πππππ ππ ππππππ πππππππ ππ 0620 277 856 (πππππ πππππππ) Pia unaweza kutuma msaada unaobebeka kama nguo,chakula,viatu,madaftari, kalamu n.kπππ #ππππ πππ ππππ !!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyumbani Onetime ππ
Baba Mpalestina akiwa katika uchungu anapoutoa mwili wa bintiye kutoka kwenye kifusi. Nyumba hiyo ilishambuliwa kwa bomu na wanajeshi wa Israel. Leo ilikuwa siku ya umwagaji damu sana kwani makumi ya raia wasio na hatia, wengi wao wakiwa wanawake na watoto wameuawa
Badilisha Muonekano Wa Madirisha Yako Ya Toilet,Jikoni, Chumbani Na Hata Offisin Pia Na Pazia Nzuri Yakisasa Aina Ya ZEBRA BLINDS Kutoka @kp_blinds_office_curtains Kila Square mita Moja Ni Tsh. 80,000 Piga Simu Mafundi waje kupima Maana Hizi Zinauzwa Kulingana Na Kipimo.!! Call/WhatsApp #0655422328 We Change Your Home..!!
Fanya matendo mema kwa ajili ya Siku hii !!!π #Mauti #Kaburi #JaafarMponda
Sema Kimeumana π π
Avg Comments