Dizzimonline's Instagram Audience Analytics and Demographics
@dizzimonline
Tanzania
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF DIZZIMONLINE
28.2% of dizzimonline's followers are female and 71.8% are male. Average engagement rate on the posts is around 0.02%. The average number of likes per post is 194 and the average number of comments is 4.
Dizzimonline loves posting about Entertainment and Music, Sports, News, Celebrity, Singer.
Check dizzimonline's audience demography. This analytics report shows dizzimonline's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR DIZZIMONLINE
AUDIENCE INTERESTS OF DIZZIMONLINE
- Music 92.74 %
- Entertainment 70.00 %
- Children & Family 40.51 %
- Business & Careers 39.64 %
- Sports 39.14 %
- Art & Design 34.59 %
- Beauty & Fashion 32.43 %
- Cars & Motorbikes 31.92 %
- Movies and TV 30.56 %
- Luxury Goods 30.36 %
- Clothes, Shoes, Handbags & Accessories 30.20 %
MENTIONED HASHTAGS OF DIZZIMONLINE
- WeGotYouCovered 10
- DizzimUpdates 8
- DizzimOnline 7
- MoriceChukwu 2
- WatuBaki 2
RECENT POSTS
MIMI SIJALI , CHA MSINGI MUNGU KANIPA NAMI NATUMIA. Leo mmoja wa kundi la wanamziki #Weusi ambae ni @gnakowarawara akijibu maswali ya @mooh_savage kuhusiana na ile mitazamo ya baadhi ya wasanii wenzake kumchukulia poa kisa anaimba Amapiano lakini Hata wengine kwenda mbali zaidi na kuandika nyimbo zao ambazo ndani yake kuna mistari (verses) zikimtaja kuwa G Nako nae anashindana na akina Jux kwenye mavazi. Full story ipo YouTube channel yetu ya #DizzimOnline Shot and edited by @jacksoni_mrema #DizzimUpdates #WeGotYouCovered
“Katika historia ya UWT kwa mara ya kwanza, Mwenyekiti wake pamoja na Kamati ya Utekelezaji imejikita kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za wananchi na kukagua miradi inayo tekelezwa na serikali kwa maelekezo ya CCM”- Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Jokate Mwegelo ( MNEC ). ✍️ @presenterdmike #MjiniFM #KWETUniKWAKO📻
Barcelona atatoboa kwa Real Madrid.? Jumamosi hii itapigwa Mbungi ya kibabe sana pale miamba ya soka nchini Hispania timu ya Barcelona wakiwakaribisha Real Madrid Hii ni El Clasico ndani ya Dstv lipia sasa Piga *150*53# usipitwe na uhondo huu
TONIGHT • TOP BALLER • ROAD TO MJINI FM 1 YEAR ANNIVERSARY • WE ON ONE TONIGHT • JERRI BIRTHDAY CELEBRATION • THIS IS ELEMENTS • THE VIBE WILL BE RESPECTED • #johnniewalker #johnniewalkerbluelabel #johnniewalkertz @johnniewalker_tz
#Tekelinalokujia asubuhi ya leo tumeongelea mfumo wa @heslb_tanzania unavyofanya kazi hii ni kwa udhamini wa @airpaytanzania Unaweza kusikiliza #Mjinifm 92.5 kokote kupitia WEBSITE ya www.mjinifm.co.tz Show Hosted by: @evansbukuku @bobbymongi @clugoe @mjinifm @biteko @mifugonauvuvi @abdallahulega ///Tupigie Simu au WhatsApp kupitia +255 742 111 777 or tusikilize ukiwa popote Duniani via website www.mjinifm.co.tz. #kwaniniisiwe #whynot
Kiungo wa @singidafountaingatefc raia wa Nigeria #MoriceChukwu ( @moricechukwu ) ameikumbuka mechi ambayo aliwahi kuikosa msimu uliopita akiwa Rivers United ya nchini kwao, Yanga ikishinda 2-0 ambapo yeye alikuwa jukwaani lakini hakumaliza kutazama huo mchezo kutokana na timu yake Kupoteza kwa idadi hiyo. Anasema alikuwa na hasira sababu waliwahi kuwapiga Yanga nyumbani na Ugenini kwahiyo hakufurahia kuona mechi mpaka mwisho huku timu yake ikipoteza ikabidi aondoke. Leo hii, Yanga wanawakaribisha Singida katika mchezo wa Ligi Kuu utakaopigwa Benjamin Mkapa. Fuatilia alichosema zaidi mchezaji huyo kupitia You Tube #DizzimOnline Credit: @sizyasports @jacksoni_mrema
Mlinzi wa @singidafountaingatefc Gadiel Michael kuelekea mechi ya Leo hii dhidi ya Yanga ameonyesha morali ya timu nzima kuwa wapo tayari kuzinyakua alama 3. Mechi itapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa. Fuatilia alichosema zaidi mchezaji huyo kupitia You Tube #DizzimOnline Credit: @sizyasports @jacksoni_mrema
Mshambuliaji hatari wa @singidafountaingatefc raia wa Kenya #ElvisRupia tayari ameifanyia tathimini ngome ya ulinzi ya Yanga na Kujua mbinu za kuwaangamiza katika mechi hiyo ya Leo. Mechi itapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa. Fuatilia alichosema zaidi mchezaji huyo kupitia You Tube #DizzimOnline Credit: @sizyasports @jacksoni_mrema
Ndani ya #FeedTheStreet zimenaswa baadhi ambazo mbali na kuwa hazizunguziwi sana zimesogezwa kwako. 🎤- @dinnynasorotz 🎤- @rashidawanjara 🎤 - @officialestherqute ///Tupigie Simu au WhatsApp kupitia +255 683 925 925 or tusikilize ukiwa popote Duniani via website www.mjinifm.co.tz.
@wagosiwakaya hawa ndani ya #TheIndustry ya #MjiniFM wamezungumzia namna yao wanavyoishi ikizingatiwa kuwa wao ni watu maarufu Tanzania kupitia muziki wa kizazi kipya. Show Hosted by: @soggydoggyanter @darboi_official @amourlysneakerz ON DECK ni @djcharlie 🙌 ///Tupigie Simu au WhatsApp kupitia +255 742 111 777 or tusikilize ukiwa popote Duniani via website www.mjinifm.co.tz.
@wagosiwakaya kuleta majibu yao baada ya kufanya utafiti kupitia sanaa yao wakitaka kujua nini kinapelekea tatizo la umeme. Show Hosted by: @soggydoggyanter @darboi_official @amourlysneakerz ON DECK ni @djsheedy 🙌 ///Tupigie Simu au WhatsApp kupitia +255 742 111 777 or tusikilize ukiwa popote Duniani via website www.mjinifm.co.tz.
@wagosiwakaya hawa hapa, tayari wako ndani kwenye Kikao cha kamati kuu ya Burudani THE INDUSTRY On 92.5 @mjinifm #KIWANDANI📻 Show Hosted by: @soggydoggyanter @darboi_official @amourlysneakerz ON DECK ni @djcharllie 🎧.
Avg Comments