Bona_tv's Instagram Audience Analytics and Demographics
@bona_tv
Business Category
Get Our Influencer Rate Card Today!
A brand new way for you to compare the rates of influencers across the world.
Learn MorePROFILE OVERVIEW OF BONA_TV
Average engagement rate on the posts is around 0.03%. The average number of likes per post is 83 and the average number of comments is 2.
Bona_tv loves posting about News.
Check bona_tv's audience demography. This analytics report shows bona_tv's audience demographic percentage for key statistic like number of followers, average engagement rate, topic of interests, top-5 countries, core gender and so forth.
Followers
Posts
GENDER OF ENGAGERS FOR BONA_TV
MENTIONED HASHTAGS OF BONA_TV
- WCB 1
- BusterDouglas 1
- Tyson 1
- Vitasa 1
- Ndonga 1
RECENT POSTS
Serikali imesema inaendelea kufuatilia kuhusu hali za Watanzania waliopo nchini Israel na kwamba taarifa zaidi zitatolewa pale itakapobidi. "Serikali inafuatulia taarifa kwa ukaribu kupitia ubalozi uliopo nchini Israel na itakapobidi tutatoa taarifa, lakini tusiseme Mtanzania amepotea hadi tutakapokuwa na uhakika. "Kwa sababu kwenye vita kila mtu anatafutia namna ya kujitetea hatuwezi kuwa na uhakika wa mtu kupotea hadi taarifa zitakapothibitishwa,"
Rais wa Ujerumani Frank-Water Steinmeier anaanza ziara barani Afrika kesho kwa kuitembelea Tanzania. Rais Frank-Walter Steinmeier anatarajia kuwasili nchini Tanzania kesho na baadaye kuelekea Zambia. Akiwa Tanzania, Steinmeier anatarajia kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan, na vilevile atatembelea makaburi ya waathirika wa vita vya Majimaji mkoani Ruvuma. Katika ziara hiyo Ujerumani inalenga kuimarisha mahusiano kiuchumi pamoja na kuongeza nguvu kwenye uwekezaji barani Afrika.
Mbunge wa Rufiji Mhe.Mohammed Mchengerwa akizungumza akizungumza na wakazi wa rufiji ameeleza mafanikio na maendeleo yaliyopatikana katika kipindi cha muda mfupi ndani ya jimbo hilo. Aidha Mhe.mchengerwa ameeleza mipango mkakati ya kuendeleza mkoa wa pwani na wilaya zake kwenye kada za afya ,miundombinu na huduma nyingine za kijamii.
Msanii anayefanya Muziki wa Dance anayejulikana kwa jina la @enockbellaofficial amefunguka kuhusu jinsi atakavyoipambania Band yake mpya aliyoiyanzisha hivi karibuni na haya ndio yalikuwa maneno yake aliyofunguka wakati akifanya mahojiano na @vidah.mswahili . . . Full Interview Ipo Youtube. . 🎤 @vidah.mswahili 🎥 @thenass._
Msanii @bekaflavour1 akiwa amekanyaga sakafu ya jukwaa pamoja na wasanii wenzake waliokuwa wakiunda kundi la #yamotoband wakikumbushia nyakati zao zilizopitiwa wakiwa kama kundi kwenye Uzinduzi wa Band mpya ya @enockbellaofficial
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva @aslayisihaka akiwa jukwaani kwa ajili ya kuwaburudisha baadhi ya mashabiki zake waliojitokeza kwenye uzinduzi wa Band Mpya ya Msanii Mwenzake @enockbellaofficial usiku wa kuamkia leo maeneo ya Tabata . . . 🎥 @vidah.mswahili
Ni kati ya wasanii waliokuwa wakiunda Kundi la ya Moto Band wakiwa jukwaani tena usiku wa kuamkia leo wakitoa burudani kwa pamoja kwenye uzinduzi wa Band mpya aliyoiyanzisha msanii mwenzao @enockbellaofficial . . . 🎥 @thenass._ ✍ @vidah.mswahili
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba sc akizungumza mara baada ya mchezo wa ligi kuu Nbc kumalizika huku mnyama akiondoka na alama tatu dhidi ya mbogo maji Ihefu .
Shabiki wa klabu ya Yanga akizungumza juu ya kiwango cha Simba Sc mara baada ya mchezo wa ligi kuu Nbc kumalizika huku mnyama akiondoka na alama tatu dhidi ya mbogo maji Ihefu .
Munamsikia bwana Fumao mzee wa mshairi ? akitoa tungo ya kumtisha mtani kuelekea mechi ya watani wa jadi tarehe 5 mwezi wa 11 , Je shairi linaukweli ndani yake ?.
Mchambuzi wa michezo ndugu Farhan kihamu akizungumza kiwango cha wachezaji wa Simba mara baada ya mchezo wa ligi kuu Nbc kumalizika huku mnyama akiondoka na alama tatu dhidi ya mbogo maji Ihefu .
Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Sc Ahmed Ally akizungumza mara baada ya mchezo wa ligi kuu Nbc kumalizika huku mnyama akiondoka na alama tatu.
Avg Comments